simu shingoni inawezekana nyumbani, sasa hapa Bongo kwetu na vibaka wotee hawa mtaani tutoke tumevaa simu shingoni? siku moja si tutarudi nyumbani bila simu wajameni??, na pengine turudi bila shingo kabisa...
Unaweka shingoni,ukiwa nyumbani,sio kariakoo...ukijaribu kariakoo na manzese utakufa siku si zako..
Mbinu nyingine ambayo si salama sana,ni kuweka simu kwenye blazia au skintight/ch*P*...hapo ikilia utaipata tu.
Otherwise tabia hii ni kero sana...na ukitaka kujua ni kero we mama mpigie mmeo asipokee..na una issue ya msingi. utapima ni namna gani inakera.
ha haa umenichekesha kweli...bora kwenye bra, huko kwingine kuitoa nikiwa ndani ya daladala si itakuwa kazi!
mume wangu akipiga nikichelewa kupokea huwa ananiuliza kama niliiweka kwenye c**pi ndio maana ikabidi mpaka nitafute choo cha hoteli kabla ya kupolea simu LOL!
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...??
Do you experience the same kwa wake/girlfriends wenu na unashauri nini kifanyika?? inaboa sana hii.
Unaweka shingoni,ukiwa nyumbani,sio kariakoo...ukijaribu kariakoo na manzese utakufa siku si zako..
Mbinu nyingine ambayo si salama sana,ni kuweka simu kwenye blazia au skintight/ch*P*...hapo ikilia utaipata tu.
Otherwise tabia hii ni kero sana...na ukitaka kujua ni kero we mama mpigie mmeo asipokee..na una issue ya msingi. utapima ni namna gani inakera.
ha haa umenichekesha kweli...bora kwenye bra, huko kwingine kuitoa nikiwa ndani ya daladala si itakuwa kazi!
mume wangu akipiga nikichelewa kupokea huwa ananiuliza kama niliiweka kwenye c**pi ndio maana ikabidi mpaka nitafute choo cha hoteli kabla ya kupolea simu LOL!
Nadhani inabidi wanaume tubadilike kidogo. Binafsi nikimpigia mwanamke (iwe mke, dada, mama etc) simu sitegemei quick response kama vile ninapompigia mwanaume. Kwa kifupi najitahidi kumanage expectation na hivyo inapunguza disappointment kama simu haipokelewi.
Mimi kinachonikera kwa wanawake ni nini wanafanya baada ya kutopokea simu. Wengi wao they will never return the call, and even when they do, hata kuappologise wanashindwa! Hili pia najaribu kulifanyia kazi ili angalau nilizoee!
kama wamo humu, waelewe kuwa wanatuboa, wabadilike, maana wao wanadai kuwa ukimuelimisha mwanamke mmoja, unaelimisha jamii nzima.tuna-solve vipi hii problem is long overdue.
Obviously tunaelea katika sayari tofauti, just because somebody is your husband/ wife haina maana kwamba una m own.
Kuna wengine kwa sababu mbali mbali muda mwingine wanataka kupumzika na hawataki kusikia mlio wa simu, sio tu kutoka kwa mke/mume, bali pia ndugu jamaa na marafiki.
Mimi pia nina hiyo formula, nikiamua kupumzika simu naweza kuizima au hata nisiangalie, sasa kama sina makubaliano na mtu kwamba nipokee imu muda wote utanilaumu vipi?
Hao wake zenu mna makubaliano nao kwamba watapokea kila simu? Maana kama hamna makubaliano mtakuwa mnaendekeza mfumodume tu kwamba "mke wangu lazima apokee simu zote" bila makubaliano, na hapo ndipo mnapokosea, wengine mnapiga simu kila baada ya sekunde mbili, na frankly this is a turn off kwa watu wengine hawapendi.
Ndiyo maana nikauliza mna makubaliano?
Kuoana haina maana ya kuununua uhuru wa mwenzako.
Shukrani kwa mtoa mada hii, itatusaidia wengi nahisi...
kwangu mimi kwa suala la nyumbani ntafuata ushauri wa Idimi wa kuvaa shingoni
kwa wakati wa kutoka bado kuna utata...simu yenye kelele? ...kuweka sidiriani?
Tatizo litakuja pale ambapo kwa bahati mbaya mwanadada anapiga simu ya kiganjani ya mwanakaka mara kadhaa afu simu iwe haijapokelewa....atapindiwa midomo na kununiwa mpaka akome ubishi! Mkuki mtamu kwa nguruwe hahaha
Very true.....
Wanawake hawajui
maana ya simu ya mkononi....
Baadhi yao.
Wengi utakuta simu iko jikoni yeye
yuko kibarazani...
Wanatia hasira hadi basi...
Ngoja utakapokuwa maiwaifu wa mtu...uje utuambie inavyokuwa .Wakati mwingine wanawake hujionea kero kila saa kuwa na simu maana inaweza kuwa chanzo cha mitafaruku isiyokuwa na maana......Hili tatizo si kwa sisi wanawake tu, mie my fiance ana hili tatizo.Utakuta nampiga simu hadi nashikwa na hasira kumbe simu kaacha kwenye gari yeye yupo ofisini.
Mie ugonjwa huu kwa kweli sina, kila sehemu ninapoenda lazima my cell phone iwe pembeni yangu, hata nikilala lazima iwe pembeni yangu.
duh! kwanza hii mikoba ya kisasa XXXX large tunayoibeba ...mmmnh simu inaita ushaitafuta kwenye mkoba huipati ng'o mpaka mwenye kupiga anakata!
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...??
Do you experience the same kwa wake/girlfriends wenu na unashauri nini kifanyika?? inaboa sana hii.
siku laumu kwa sababu umesha sema kuwa wewe bado upo upo sana.
Sidhani kama wanandoa wanaweza kuwa na simu hadi iwe kero kwa mwenzie hadi aamue kutokupokea simu au kuzima hivyo unavyopiga na isipokelewe kwa muda muafaka ni jambo la kueleweshana.
Lakini kuna jamaa mmoja aliniambia kuwa ukiona unapiga simu na kupokelewa haraka weka alama ya kuuliza.,huenda yupo na mwingi hivyo anaona kama akichelewa kupokea,aliyenaye anaweza akaipokea na kusababisha mambo kuharibika.
So try to think and make reference to previous days on how did she act on your calls. if any changes has been shown act upon those.
Thanks ndugu, you made my day..duh JF kiboko asante...this is one of the options ambazo sikuwaza kabisaa...Nakushauri uweke landline nyumbani au hata ile ttcl mobile na uiweke sebuleni au jikoni. Nilikuwa na tatizo hili na mke wangu, tuligombana sana mwisho nikaona isiwe tabu, nikaja na hiyo solution, nikaweka landline! akiwa nyumbani nikapiga mobile mara 1 bila kupokea, napiga landline (si unajua linavyolia) basi hata sekunde haipiti nasikia ''hallow'', akiwa ofisini natumia ya ofisini, akiwa ametoka, nimeweka ttcl mobile kwenye gari lake..... basi full covered nampata muda wowote. Hili ni tatizo la wanawake wengi, so usikasirike, tafuta solution!