moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Demu wangu aliniambia baby nimeishiwa sms na hii ndo ya mwisho kwako uck mwema my mwaaaaa [emoji3] mimi sipendagi ujinga nikamuuliza tena baby ile laki moja nitume kwenye namba ipi......?[emoji847]sekunde tano nyingi akajibu fasta baby jamani nitumie kwenye namba hii ya tigo[emoji3].sitakagi ujinga mimi nikamuuliza tena jina nan baby??.[emoji847]fasta tu akajibu nasra juma[emoji3][emoji3]nikamwambia baby tayari umeiona hiyo hela[emoji2960][emoji2960]akajibu mbona hamna bbaby jamani [emoji848]nikamwambia sipendagi ujinga mimi nilitaka kujua tu kama kweli sms zako ziliisha kweli [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]akajibu fyuuuu lione kwanza[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]*_