wanawake na somo la Chemistry

Dengue

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
2,047
Reaction score
1,465
Utafiti unaonyesha wanawake wanafaulu saana somo la chemia kwakuwa wanauwezo wa kutambua rangi tofauti na wanaume ambao wana ugonjwa unaojulikana kama colour blindness.
 
Ivi wanaume wote wanakuwaga na color blindness?
 
Utafiti unaonyesha wanawake wanafaulu saana somo la chemia kwakuwa wanauwezo wa kutambua rangi tofauti na wanaume ambao wana ugonjwa unaojulikana kama colour blindness.
kwan kutambua rangi ndo kusoma kemia mkuu??? huu utafiti umefanyikia wapi??? na shirika gan??? tupe source sio kuandika tu!!!!
 
hapa unakutana na professional chemists, kajipange upya! kitaaluma hakuna la kuchangia
 
Hivi chemistry is all about rangi?
 
kwan kutambua rangi ndo kusoma kemia mkuu??? huu utafiti umefanyikia wapi??? na shirika gan??? tupe source sio kuandika tu!!!!


Source ni World Facts
 
hapa unakutana na professional chemists, kajipange upya! kitaaluma hakuna la kuchangia

Wewe ni mtaalam wa Chemia ktk field ipi?

Kama wewe ni mtaalam wa rangi nitajie rangi ya maji
 
wewe pia umefaulu vyema iyo chemistry,na hauna coulorblindness.hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…