kwan kutambua rangi ndo kusoma kemia mkuu??? huu utafiti umefanyikia wapi??? na shirika gan??? tupe source sio kuandika tu!!!!Utafiti unaonyesha wanawake wanafaulu saana somo la chemia kwakuwa wanauwezo wa kutambua rangi tofauti na wanaume ambao wana ugonjwa unaojulikana kama colour blindness.
toa source mkuu??Source ni World Facts