zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
[emoji23]ukikuta msichana kaandika message ndefu ujue kaforward sio kwa mkono wakeWeeee! Kuna mwenzio huwa anaandikiwa message ndeeeefu kama essay, chunguza vizuri tu, mapenzi bwana [emoji28]
Let's meet at the top, cheers [emoji1635]
Ushazoea kuandikiwa short and clear eeh?? Jiongeze hapo mkuu.....[emoji23]ukikuta msichana kaandika message ndefu ujue kaforward sio kwa mkono wake
Amna niliposema sijamanisha mmUshazoea kuandikiwa short and clear eeh?? Jiongeze hapo mkuu.....
Let's meet at the top, cheers [emoji1635]
Lakini kweli[emoji23]ukikuta msichana kaandika message ndefu ujue kaforward sio kwa mkono wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haahaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Wewe[emoji117] Mhjsjddjsjdysuenjsjsdjdkdbsbusydjdkshhsjsjsndndjdjndnsmsnsnssgsuejdjnd ysjenekjxjsjjshsjsj
Yeye[emoji117]P my
Wewe[emoji117]ksjsajakaksnsjjsnsndjdkskmsnsndjdjdjsksnsndndjdjdjdjjnsbdhdjsjskksnsnsjdhsiskjsnsnsjsjdkdmndjdjdkdmnsjsjjsjsksjsnshhdjsjsjsndhdhjdkdjdjdnsjjsjdndj
Yeye[emoji117]Tnx
Mimi[emoji117]Acha Ufala *****.
Mimi nashindwa kuandika meseji ndefu jamani [emoji16][emoji16][emoji23]ukikuta msichana kaandika message ndefu ujue kaforward sio kwa mkono wake
Umecheka mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati wakiwa shule walikuwa wa kwanza Kuandika essay ndefu na kumaliza notes za walimuNilijua ni mm peke yangu huwa nakerwa na huu uandishi wao kumbe tupo wengi.
Duuh yani shortcuts zitatuaa kwasababu watanzania kwenye shorcuts mwishowe watakuwa hawachat kabsaMi naandika sana msg kuliko kuongea,, tena niwe naexpress feelings zangu au nimechukia,msg ya watsap utafungua more hata mara tano, na naandika kwa muda mfupi
UmenichekeshaUmecheka mama
Mimi huwa najizuia sana kuandika meseji nikiwa nimechukia, maana nikichukia maneno yangu nayajua mwenyeweMi naandika sana msg kuliko kuongea,, tena niwe naexpress feelings zangu au nimechukia,msg ya watsap utafungua more hata mara tano, na naandika kwa muda mfupi
Hahahah ndio ,umejikunja weeee kuandika mtu anajibu...P.....K... tnx hahahahhaUmenichekesha
Sasa si ndio mwandiko wake jamani wengine hatuwezi kuandika meseji ndefuHahahah ndio ,umejikunja weeee kuandika mtu anajibu...P.....K... tnx hahahahha
Eehhhh ilo nalo lakuzingatia, kuna watu wanapenda kuongea nasimu saaaaaaana ,msg hamna.Sasa si ndio mwandiko wake jamani wengine hatuwezi kuandika meseji ndefu
Yeah but mi napenda kuchat kuliko kuandika lakini maybe wasichana ni waongeaji wakubwa kwa njia ya simuEehhhh ilo nalo lakuzingatia, kuna watu wanapenda kuongea nasimu saaaaaaana ,msg hamna.