Wanawake, nani alisema dera ni nguo ya heshima?

J2 kama ya leo umekaa nyumbani halaf mama watoto kavaa dera anahangahika jikoni ni raha sn...I realy miss hizo mambo
 
Af ndan unamkuta na bukta la man u
Hapo ndo nachefuka tu
 
Leo sijapika .siku hizi sipiki nimeajiri Dada Niko busy sana
Angekuwa ni shosti yako vivian amekuambia anakuja kula pilau ungemwambia karibu sana ila mimi jibu ni kuwa siku hizi hupiki,Mungu anakuona lakini!!
 
unaharibu utalii wa macho wewe[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Wanasema dera bila tako ni kanzu.
 
Kwa mimi naona hili vazi nila heshima tu na pia ni nguo inayo mstiri mtu maungo yake yote ndio nguo ya heshima, sasa jamaaa unavyo sema eti hili vazi kwa dada, mama zetu sio zazi la heshima nashangaa kwani kwanza utambue vazi lolote ni vazi la heshima, sema sasa inategemea na zise ya vazi na mwili wa mtu,

Wapo wanaovaa madela ya watoto zao au wadogo zao alafu kama unavyo sema wanakuwa wamejaliwa mvumo wa radi, hapo ni dhahiri kabisa miluzi na zikohozi mitaani vitakiwepo tu .

Chakufanya hapa labda ungewashauri wahusika kwamba wavae mavazi yanayo endana na umri na maumbo yao ili mivimo ya radi ipungue,

Ujue hili vazi kikweli ni lepesi sana sasa ikitokea akavaa mdada mwenye inye gwedegwede panakua hapatoshi mitaani.

Hivyo hivyo hata kwenye nguo nyingine za kina dada wavae nguo zinazoendana na umri na mauombo yao sio ma dela tu, hata hizo nyingine wakivaa za wadogo zao basi mambo ni moto tu kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…