Ata uko naye Baada ya muda atakwambia simu yangu siioni
Ukipiga Mara ilikuwa jikonii, Mara Mara kibaaao
Sasa akupigie yeye usipokee weeeww!!!!![/QUOT
wanawake unao wazungumzia wewe ni wamama wa nyumbani nso hufanya hivyo kwasababu ya pilika zao za kutwa mzima.
Mukubwa sijakuona kitambo!Haha hata najiuliza huwa wanaisahau kivipi?
yani ukikaa dakika sifuri utaskia ''Hebu niazime simu yako nipige simu yangu siioni''
Mbona nipo mkuu? sema labda tunapishana tuMukubwa sijakuona kitambo!
Akina Chikunde hao...hhahahaHawa wa mjini bora wasahau kula lkn sio smartphone. Hata kwenye misiba na harusi pia wapo biz na simu wengine mpk kanisani. Ukipiga nae story akiwa na simu ataishia kuitikia tu sawa..ok..kimwili yupo na wewe lakini kiakili haupo nae
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Akina Chikunde hao...hhahaha