Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hi
Ninyi wanawake ndio sababu ya vijana kupenda kulelewa na mashangazi.
Mtoto wa kike unapata wapi ujasiri wa kumlea mwanaume wakati wewe umeeumbwa kutunzwa na mwanaume kaaumbiwa kutafuta pesa atunze familia
Matokeo yake ndio haya watoto wadogo wanaangaika na vikongwe uku kisa kufwata uwepesi wa maisha
Sikuizi hakuna mwanamke wakukuchangamsha akili za wanaume au mwanaume atafute pesa kwa uchungu matokeo yake mwanamke ana pesa anakaz ya kununua vijana vya form six kuwafungia ndani mtai hasira nachukia mwanamke wa kuhonga wanaume ili apendwe kupendendwa ni nature kama hakupendi ata ummpe pesa hakupendi tu
Mwanamke kabisa unatafuta pesa unaonga kitoto cha 2000 mnatuaharibia vijana mmekuwa vibaka
Kuna familia moja niliipenda sana nilisoma sms kwenye sm ya mshikaji alinipa ruhusa lakini niijibu sms ila kihelele changu tu kusoma sms za juu
Nikaona mwanamke kamwambia mume atafute milion 7 yeye anatafuta 5 mwezi ujao wafungue duka la vinywaji alinishawishi sana mpaka natamani nipate mwanamke ambae amechangamka kiakili kama huyu
Ninyi wanawake ndio sababu ya vijana kupenda kulelewa na mashangazi.
Mtoto wa kike unapata wapi ujasiri wa kumlea mwanaume wakati wewe umeeumbwa kutunzwa na mwanaume kaaumbiwa kutafuta pesa atunze familia
Matokeo yake ndio haya watoto wadogo wanaangaika na vikongwe uku kisa kufwata uwepesi wa maisha
Sikuizi hakuna mwanamke wakukuchangamsha akili za wanaume au mwanaume atafute pesa kwa uchungu matokeo yake mwanamke ana pesa anakaz ya kununua vijana vya form six kuwafungia ndani mtai hasira nachukia mwanamke wa kuhonga wanaume ili apendwe kupendendwa ni nature kama hakupendi ata ummpe pesa hakupendi tu
Mwanamke kabisa unatafuta pesa unaonga kitoto cha 2000 mnatuaharibia vijana mmekuwa vibaka
Kuna familia moja niliipenda sana nilisoma sms kwenye sm ya mshikaji alinipa ruhusa lakini niijibu sms ila kihelele changu tu kusoma sms za juu
Nikaona mwanamke kamwambia mume atafute milion 7 yeye anatafuta 5 mwezi ujao wafungue duka la vinywaji alinishawishi sana mpaka natamani nipate mwanamke ambae amechangamka kiakili kama huyu