Hahahaha!ww utakuwa jinias sn lol,
Sipati picha mtu akikuzingua unaweza ongea hata kilatini(joke)
Umenichekesha sn,maana nimevuta picha ya hiyo sini itakavyokuwa lol!
Nikiomba mungu ili awe anakuelewa na kuamua yeye kuwa mpole ili kumaliza soo,kwa kweli ukifikiri njia uliyosema hapo juu is "Excellent way to approach the problem"
dahhhh lakini kuna wengine hapa tuna madadi sjui hata yanatoka wapi "short temper"
tunaangukia conclusion wakati bado hapo hatuja sort out problem ... vizuri kuona watu kama wewe..
hahahahahah lol
dahhh umenifanya nicheke kwa kwali lohhh
yeah natabia hiyo ya ku nena kwa lugha nikikasirika..
lakini haichukui muda..( siwezi kukasirika zaidi ya dakika 10 ) ndivyo nilivyo..
:A S-coffee::A S-coffee::hungry::hungry:
Afadhali wee utakula!:A S-coffee::A S-coffee::hungry::hungry:
Nikiomba mungu ili awe anakuelewa na kuamua yeye kuwa mpole ili kumaliza soo,
Ila ukiweza kuwa unalivumilia alafu yeye anaendelea kubwata mwisho wa siku atanyamaza kwa kukosa sapoti yako,
Hata kesho yake ukimuuliza hatakuwa na ujanja zaidi ya kukutaka radhi yaishe!
unafaa sana AD...LOL
When Enjo gives you some scratch do you also say these words....lolaseme neno lolote kati ya uliyosema..
Imekula kwakwe labda awe na minyoo ya hatari,
au kaungua mdomo hawezi kula vinginevyo salale kasikolomayo...
kwa kweli ukifikiri njia uliyosema hapo juu is "Excellent way to approach the problem"
dahhhh lakini kuna wengine hapa tuna madadi sjui hata yanatoka wapi "short temper"
tunaangukia conclusion wakati bado hapo hatuja sort out problem ... vizuri kuona watu kama wewe..
Kwa vile na mfahamu alivyo na sio kawaida yake kuwa vile au kunijibu vile mkewe,
Nitamshukuru na kumwandalia kitanda tulale,
Kwani najua lzm kutakuwa na tatizo kubwa sana linalohitaji kuongelewa muda mwingine na sio wakati ule,
Kesho yake nitamtafutia mda mzuri na kumtaka tuliongelee swala hilo na nipate maelezo ya kutosha.
Sweetie watafuta nini hapa hali terms and conditions za Mtambuzi applies?
Afadhali wee utakula!
When Enjo gives you some scratch do you also say these words....lol
You are very right yaani..maana wahanga wa "short temper" tupo wengi tu hapa. Halafu bila kujua hasira za design hiyo zikija unaweza fanya anythng stupid..maana kitu kinakuwa kimesokota moyoni unatamani kama umkabe na majibu yake ya kijinga.
Swty ndo maana sikusema kitu ila 'nina njaa' mwenzio....mwanaume 'hasusi chakula'....kula kwanza maswali baadaye
Dah!hapo ulimpatia sana,na ilikuwa lzm imsumbue coz hakukuta alichokitarajia,yeah kweli kabisa ulichosema..
Kwa kweli tumetofautiana sana..
kuna siku wangu alikuja nyumbani akanieleza madudu aliyoyafanya
siku hiyo. nikacheka halafu sikukasirika na ye alikuwa anategemea vinginevyo..
dahhh alianza kuniuliza mara mia mia kama nina umwa.. sababu si kawaida kabisa..
But anyway aliniambia anataka ni kasirike tu akinieleza makosa yake sababu anaijua yeye
na inamhuzunisha na kumkosesha raha nisipoongea maneno yangu ya ajabu.. anapenda nilivyo..
I will appreciate if you bring her this weekend...i need to spend sometime with her may a month or two or even stay with her forever..lolworse hahahah lol
she is so mean to me .. Do you want her this weekend please .. I need a break..
ndo hapo sasa....Kabisaa..."nyani hasusiwi shamba" au sio B? NImekumiss😛oa
Asante sasa hapo km umeolewa hata ukipigana haisaidii,Hongera! Wanaume hawa hawa.