Wanawake ndio wajibu hapa: ungefanyaje Kama unakutana na kisirani hiki…………?


great answer, great wife. that is wt thy called wisdom, ningejua ulpo ningkupa zawadi, unajua jamii inatafuta wake kama nyie bd lack wapo wachache.
 

akinijibu hivyo huyo atakua anataka shari,sijui nireact vipi ila kwa vile namuona kaja kishari so naweza kujifanya mjinga nikanyamaza na kumuacha tu lkn lazima nitatafuta kujua kiini cha hayo majibu maana yamekaa ka vile mtu aliyekuchoka choka hii.
 
Yaani-ni mnuno tu..mpaka apate adabu and aanze ku-act kama mtu mzima mwenye akili!yani..if you cant make it in time for dinner au hautaweza kula si bora uniambie mapema??i work my @$$ off for you afu unaleata dharau/kiburi??i am yo woman and you will treat me with the respect i deserve!upuuzi mwingine peleka kwa those 'other ones'!ebbo!
 
Nitachukulia kama sehem ya changamoto ktk ndoa na kutulia ila nitasubiri tumetulia kila m1 akiwa hana asira nimweleze jins majibu yake yalivyonhudhi kama ni mtu mwenye busara ataomba msamaha
 
great answer, great wife. that is wt thy called wisdom, ningejua ulpo ningkupa zawadi, unajua jamii inatafuta wake kama nyie bd lack wapo wachache.
Thx Olele,
Tupo wengi tu tatizo ni ngumu kuona kwa kuangalia,
 

...Tabia mbaya hiyo, wanaume tunafunzwa hata kama umevimbiwa ulikotoka, japo onja vijiko viwili kwa mkeo umridhishe utakula baadae.

Anyway, acha kina mama waendeleze majibu.
 
nitapotezea. Ila hiyo tabia ikijirudia vita yake awe ashaandaa handaki mapemaa
 
chakula akija atakuwa anajipakulia na kujipashia mwenyewe, ndio itakuwa mwisho wa kumuuliza
 
hizi lips vipi tena preta? unamtega mume wa mtu hapa jf? zimekaa kimahaba sana hizi usishangae pm zikaongezeka
 
heri yenu mtakaonyamaza mpaka hasira ziishe,mie akinijibu vibaya hilo timbwili lake litakavyokuwa??? hata la asha ngedere lina afadhali..lol
 
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kumjib mkewe wa ndoa hivyo hivyo lbd kama alilazimishwa kumuoa.Ningekuwa mimi kama ndo mara yake ya kwanza sitomjibu, nitamvumilia nione mwisho wake utakuwa upi?

Kama nilikuwa na zawadi basi ningekupa wewe uliyejibu hii sms, kwani umejibu katika uhalisia na busara ya hali ya juu. No comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…