Wanawake ndo tunasababisha waume zetu kutoka nje.

Huyo nilimwambia hivyo nimemsoma si leo tu.....alitumwa na amenikuta sasa ligi ianze......
Wikiendi imeisha mamii ndo tunaanza kazi.....ngoja niku PM faster......

ni pm sweetie
achana nae bwana
wavulana wagomvi sjui wakoje...tema mate tumchape...m watng u uku pm
 


umeona ennh
yaaaan kuna watu fulan ivi uswaz uwa wanajifanya wanajuaaaa yaaan wanawezsa ata wakakwambia juz clinton alivaa boksa gan,chura akiruka ruka anaimba mwimbo gan ,kunguru anatongozaje yaan wao full kujua ata mungu kasafiri nchi gan wanajua

sjui data zake kazikusanya kwa shost zake wale wanaoshare ghariba..
ahh apana..yaan its like mtu anasmama mbele ya kadamnasi afu kifua mbele ...nyinyi wanaume yaani sisi wanawake wote tuna tabia ya kukojoa ktandan...kumbe ye peke yake ndo anakojoa..sjui anatafuta comfort na hands kwa watu wengne ili aonekane sahihi/sawa...i ipo kwenye saikoloj kule...ngoja nkachek vdesa vyangu nijikumbushie i kitu inaitwaje..
 
poa mwana kwetu, naona mwam bwatukia dada wa watu.......kwa raha zake mweyewe...l.o.l

mwenzangu...kwa raha zake km kdg:laugh::laugh:
ahh upupu wake ni wake peke yake lakin asiseme kwa wanawake wote
wknd aje aje?
 
mwenzangu...kwa raha zake km kdg:laugh::laugh:
ahh upupu wake ni wake peke yake lakin asiseme kwa wanawake wote
wknd aje aje?

huku kwetu kia siku wknd dada angu.....
mdada anawaambia anapenda sex hata mumewe analitambua hilo....l.o.l
 

Michelle mi nimeipenda hii comment, haina unafki na imejaa uhalisia.... ur such a swiri, me very proud of you (hata kama sikufaham)....

In short, wewe na mamushka kwenye hii topic just made me very happy and proud to be a lady.
 
huku kwetu kia siku wknd dada angu.....
mdada anawaambia anapenda sex hata mumewe analitambua hilo....l.o.l

sifa za kijingaaaaaaaaaaa

km wale wanaojifanya ahh mimi yaan naweza sana ku.t.i.a.n.a.. yaan nikimshka demu kweli aniachi ng'o na nikimwacha ananililia...ahh yaan mimi najua kukandamiza ahhh inaboa jaman....uwa napatwa na bumbuwaz iweje ujifagilie mambo ayo?kwa kipimo kip umeconclude yr expat?..ata km wewe unatembelea magongo afu ukaomba mashndano ya kukimbia na viwete wanaotambaaa bas wewe ni CHAMPION?

au utamkuta mtu ahh yaan mimi nikiwa na mpz wangui nafanya iv na iv...ahh mimi yaan nimemweka apa kiganjan mpz wangu namtumbua km kijipu...namwendesha kiulain km naendesha kibajaj...SIPEND UPUUZI UU SASA NIKIMWONA MTU ANAJISFIA UPUPU KM U THEN AKANIKUSANYA NA MIMI PIA KWA NIA MOJA AU NYNGNE UWA NAPANDWA NA HASIRA


UJINGA ..km unapenda sex z ya bznes si maandiko ya biblia au kuraan wote tujue

inaboooooooooaaaaaaaaaaaa
 
Sex alleviates tension. Love causes it.
 
Kumbe Haika hayo yote unayajua (kwenye red) ????? Basi cha kufanya mrudie Mungu, maana anapenda sana ndoa zisivugike.Angalia hata Ibrahim alicheza na mke wake Sara. Kaw hiyo mapenzi kwenye ndoa ni kachumbali inakoleza unyumba. Wewe na baba mpe Mungu nafasi kwenye maisha yenu, hapo ndipo mtakapo faidi vizuri matunda ya ndoa. Kuvumilia peke yake ni mzigo, utacrash kama computer, hizo stress ni heart failure ndg yangu, jihadhali kabla ya hatari!!!!!!!
 
Labda nitenganishe mada mbili hapa:
wanawake kutokupenda, au kujifanya hawapendi sex na wanaume kutoka nje ya mahusiano,
mie naon ahazina uhusiano wowte zaidi ya kwamba yote ni mambo ya watu walio katika uhusiano wa kimapenzi.

Wanawake kutokupenda au kushindwa kuonyesha hisia zao katika sex nilishaelezea kwa kirefu sana hapo juu.
wanaume kutoka nje au kucheat kunatokana na sabau nyingi sana kubwa ni ile ya kuwa na woga wa kuface ukweli ulio mbele yake. Kulitazama tatizo, kulitafutia ufumbuzi.
-Mfano umegundua hupendi tena sex na mkeo, ila unaogopa ukimuacha kwa ajili ya jambo hilo maisha yatavurugika, basi kwa haraka unaona njia fupi ni kutafuta sex kwingine, ukidhani maisha mengine yataenndelea kama kawaida, KUMBE!!!!
-Kutokuelewa totfauti ya sex kwa wanaume na wanawake, na kufikiria kuwa unavyojisikia wewe (mwanaume) na yanayokusukuma ndio hayo yanayotokea kwa mwanamke, pamoja na uvivu wa kujifunza mwanamke wako anachotaka, hivyo kila siku haumridhishi, unamfrustrate, na wewe unakuwa frustrated. hapa ndo tabia ya kugeneralize kuwa wanawake wanataka 1,2,3..., au wanaume wanataka 1,2,3.. badala ya kumjua mpenzio.
-Wanaume wengine wanauhakika wanawake ni kwaajili ya sex, na lazima wawape, na wapewe sex kila inapowezekana, nje au ndani ya mahusiano. hawa huwa hawajui miiko yoyote as long as vile viungo viko pale basi vitumike, KWANI KUNA NINI, SI BAADAE KILA MTU ANAONDOKA NA MWILI WAKE? yani hawaelewi ishu hapa ni nini?
 
Sikubaliani na wewe kwa asilimia zote. nimeshawahi waona wake za wa wako so lovely in evey ways, lakini midume bado inatongoza. wanaume hawaridhiki kwa lolote.
 

Kila mtu ana levo yake ya libido..hizi elimu za kudanganyana vijiweni zina madhara sana.
 
MODS,
Nadhani inabidi liwepo jukwaa la wanawake ili nasi wanaume tufundishike/tuelimike kwao, thread hii ni WAO KWA WAO wako ulingoni....wanaume tunatazama mambo yanayowakuta na jinsi wanavyozozana....mh!
Ni angalizo tu ila nadhani lina umuhimu wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…