not enough una hidden agenda wewe!
umekuja kutaka PM za kaka wa JF...ndio unapose kama yule 'perfect mwanamke' wakaka wanaomuota...
ofourse kwa wanaume sex ina kipaumbele kuliko vingine vyote,na wewe ndio unapose km biggest provider wa hio kitu....mnh hata km uko 'hunting' sio kwa kujishusha namna hio....:twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::coffee:😛opcorn:
Michelle mi nimeipenda hii comment, haina unafki na imejaa uhalisia.... ur such a swiri, me very proud of you (hata kama sikufaham)....
In short, wewe na mamushka kwenye hii topic just made me very happy and proud to be a lady.
Duh sina la kusema
Wanawake ndo chanzo kikubwa cha wanaume zetu kufanya mapenzi nje. Sababu wanawake wengi wanajifanya hawapendi kufanya mapenzi kitu ambacho si kweli. Wanawake wanapenda sana kufanya mapenzi ila wanaogopa kuonyesha wanaume zao eti wataitwa malaya. Huo ni ujinga mtupu kuleni kitu roho inapenda.
Mimi binafsi na admit kwamba napenda sex na mpenzi wangu analijua hilo hivyo na wenzangu muwe wakweli pia. Msilete mambo ya siyo wanawake wote wanapenda NI KWAMBA WOTE TUNAPENDA SEX. Wewe unae andika comment yako sasa fikiria kwanza huja andika.
not enough una hidden agenda wewe!
umekuja kutaka PM za kaka wa JF...ndio unapose kama yule 'perfect mwanamke' wakaka wanaomuota...
ofourse kwa wanaume sex ina kipaumbele kuliko vingine vyote,na wewe ndio unapose km biggest provider wa hio kitu....mnh hata km uko 'hunting' sio kwa kujishusha namna hio....:twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::coffee:😛opcorn:
ohhh Leney,mi proud of you too my dear, you are a swiri as well nakusomaga sana.....unafiki haukubaliki kabisa,hapa ni Where we dare to talk OPENLY.........stay well.....
mpe mpe uyo
mpakie ajae
mjaze amiminike
mlalishe ntamfunika
mpe mbu ntamnunulia net
byeeeeeee nawai kaugal mlendakangu mie
ohhh Leney,mi proud of you too my dear, you are a swiri as well nakusomaga sana.....unafiki haukubaliki kabisa,hapa ni Where we dare to talk OPENLY.........stay well.....
Hakuna ambae hapendi sex ila ikizidi sana ni utumwa!
Nilijua tu kama kawaida yenu, kwenye mambo ya kweli huwa mnakuwa negative. tena leo mmechelewa ku comment. sijui ni kwamba mnataka kuonekana nyie ni wastarabu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana. hakuna ustarabu kwenye ngono dada
mtoa sredi mjanja sana . . . . ha ha ha ha ha
kawatimua watu fulani wasi-comment hapa
sio sex tu ndugu yangu kuna wengine hapa utawasikia wanadai SINA MPANGO KABISA NA WANAUME KTK MAISHA YANGU lakin fuatilia utekelezaji wa maneno yake ujionee tofauti
Umenena vema ndugu, maneno yao na uhalisia ni tofauti, atasema hataki mume lakini atakuwa mtu wa wanaume, kwa hiyo bado hapo anahitaji sex kumbe.
Habari ya asubuhi wapendwa,
LOl.. sorry,
Nadhani nimepotea njia,
ngoja nigeuze!!!!!
Nilijua tu kama kawaida yenu, kwenye mambo ya kweli huwa mnakuwa negative. tena leo mmechelewa ku comment. sijui ni kwamba mnataka kuonekana nyie ni wastarabu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana. hakuna ustarabu kwenye ngono dada