Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wizi tu................ anajaribu kuitetea figure iliyoko kwenye invoice yake..........Hawa ndo samaki bulaza!!! Hebu ckiliza Offcd Trick utapata picha kamili!
Hivi wanapopiga kelele huwa ni utamu o maumivu hayo?????
Hao wadudu sio mchezo!!!!!!!!!!
kweli wakuu hawa wadudu wana moyo sana ila nafikiri wanaongoza kwa roho mbaya na ujasiri wakiamua kukufanyia ubaya utashangaa
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,
Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele wewe usijerudia tena
Mama, komenti kama hiyo ya huyo kiumbe haikufanyi umonee hata huruma?Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele
wewe usijerudia tena
Unakutana nae kwenye gari, hamfahamiani, unaenda kupiga one night stand.
Hajui una kifaa cha uzito gani, kama ni tubelight au sigara.
hata kama una tube light wala hakimbiii, atagugumia maumivu mpaka umalize haja zako.
Hata kama una kitu kama kipisi cha sigara, utamchovya hivyohivyo.
Kweli wanawake hawaogopi kitu
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,
Yaani wewe umeniudhi sana leo kama ulikuwa hujijui wewe ndo hufikirii mbele maana huoni hata haya kusema maneno ya kipuuzi kama mbele za watu. Nakuone huruma sana kijana
Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele wewe usijerudia tena
kwani nyie wanaume mna ujanja gani!mbn hamuogopi kwenda nao huko,hujui kama ana handaki utazama au la!hamna ujanja wowote mgekuwa wajanja mgeziba shimo mbona mnatumia na kuliacha wazi?si uzibe mwengine asije kulitumia pia?
Nafikiri kama kukiwa na mtaala wa kufundisha ngono mashuleni, basi hii itatufanya na sisi watanzania kujulikana kote duniani, maana tunatisha, hata watoto siku hizi hawataki kuitwa watoto, eti kipimo cha ukubwa ni uwezo wa mambo fulani kitandani.Unakutana nae kwenye gari, hamfahamiani, unaenda kupiga one night stand.
Hajui una kifaa cha uzito gani, kama ni tubelight au sigara.
hata kama una tube light wala hakimbiii, atagugumia maumivu mpaka umalize haja zako.
Hata kama una kitu kama kipisi cha sigara, utamchovya hivyohivyo.
Kweli wanawake hawaogopi kitu
Pearl, umenifanya nicheke aisee duh! Hizi lawama za upande mmoja wakati mchezo tunafanya wawili haziniingii akilini.
Kama ni ujasiri basi tunao wote, kama ni uonga likewise.
Wakaka vipi mbona hapa mnawagaia wadada credo ki reeeree sana?