Wanawake ni majasiri

Hawa ndo samaki bulaza!!! Hebu ckiliza Offcd Trick utapata picha kamili!
Hivi wanapopiga kelele huwa ni utamu o maumivu hayo?????
Wizi tu................ anajaribu kuitetea figure iliyoko kwenye invoice yake..........
 
ndo maana mnaonekana wanaume wa shoka huko sababu ya ujasiri wetu embu fikiri tungekuwa legelege mngekuwaje
 
Pita pita mitaani, katoto kana miaka 16 kanatembea na bonge la mbaba, saizi kama ya babu yake
 
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,

Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele wewe usijerudia tena
 
Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele wewe usijerudia tena

Yani nimetafakari alichokisema nikashindwa kuelewa!tumsamehe bure kuna watu wengine wanadharau sana wanawake cjui huyo mke wake kama anae au atakuwa nae itakuwaje!
 
Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele
wewe usijerudia tena
Mama, komenti kama hiyo ya huyo kiumbe haikufanyi umonee hata huruma?
Naona yeye ndo kashindwa kabisa hata kufikiri. Huyo mwanamke anakuwa kaenda na nani huko kwa hiyo one night stand? Huyo mwanaume anakuwa anamfahamu huyo mwananmke? Nani anafikiria mbele sasa hapo?
 

aisee nimejaribu kutafakari, ni kweli wanawake ni noma.atagugumia kwa maumivu halafu sio ndo itakua mwisho, utashangaa siku chache baadae anagugumia maumivu kwa mwanaume mwingine mwenye kitu kama goti la mtoto mdogo
 
Dada zetu huwa HAWAFIKIRII MBELE,

Yaani wewe umeniudhi sana leo kama ulikuwa hujijui wewe ndo hufikirii mbele maana huoni hata haya kusema maneno ya kipuuzi kama mbele za watu. Nakuone huruma sana kijana
 
Yaani wewe umeniudhi sana leo kama ulikuwa hujijui wewe ndo hufikirii mbele maana huoni hata haya kusema maneno ya kipuuzi kama mbele za watu. Nakuone huruma sana kijana

Achana na kateeneger,kasituaribie mudi bure,twen zetu kuleeeeeeeeeeeeeee
 
hawa videbwedo sijui wakoje ivi wangekuwa wamesimama kama tungekuwa hatufikiri mbele

Hivi wewe unaakili kweli yaani hawafikirii mbele unamaanisha nini??? Wanaume ndo wanafikiria mbele huna lolote kwenda kule. Kazi umariooo ndo uko mbele wewe usijerudia tena
 
Jamani hii thread naomba isitumike kuwasema vibaya na kuwadhalilisha dada zetu
 
kwani nyie wanaume mna ujanja gani!mbn hamuogopi kwenda nao huko,hujui kama ana handaki utazama au la!hamna ujanja wowote mgekuwa wajanja mgeziba shimo mbona mnatumia na kuliacha wazi?si uzibe mwengine asije kulitumia pia?

Ha..ha..ha..ha
lingezibwa tungepatikanaje
Ee mungu tusaidie sisi eaja wako
 
Nafikiri kama kukiwa na mtaala wa kufundisha ngono mashuleni, basi hii itatufanya na sisi watanzania kujulikana kote duniani, maana tunatisha, hata watoto siku hizi hawataki kuitwa watoto, eti kipimo cha ukubwa ni uwezo wa mambo fulani kitandani.
 
Pearl, umenifanya nicheke aisee duh! Hizi lawama za upande mmoja wakati mchezo tunafanya wawili haziniingii akilini.
Kama ni ujasiri basi tunao wote, kama ni uonga likewise.
Wakaka vipi mbona hapa mnawagaia wadada credo ki reeeree sana?


Nightangale, heshima yako bibie nilikuwa mbado kujua kama wewe nawe ni mwanamke......usijali, baadhi yetu ndo hivyo tulivyo, stara imetupita mbali kweli..take it easy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…