Nimegundua wanaume wengi tuingiapo ktk mahusiano mapya mara nyingi hutumia kondom lakini ikishafika wiki nakuendele ujiripua!!Na hata saa nyingine hutumia kondom Bao la kwanza yanayofuata ujiripua!!Wito kwa wanawake mnaweza kutulazimisha mda wote tukatumia Kondom!!Hata hivyo nanyinyi hamzipendi kwenye majamboz eti ampati raha!!!
Jiokoeni nasi tutawaokoa.
Source: nimesahau.
Nimegundua wanaume wengi tuingiapo ktk mahusiano mapya mara nyingi hutumia kondom lakini ikishafika wiki nakuendele ujiripua!!Na hata saa nyingine hutumia kondom Bao la kwanza yanayofuata ujiripua!!Wito kwa wanawake mnaweza kutulazimisha mda wote tukatumia Kondom!!Hata hivyo nanyinyi hamzipendi kwenye majamboz eti ampati raha!!!
Kwa hili hata dunia inajua!!Kichwa chako cha habari kinapingana na mada yako ya nyuma!Ulishasema kwamba "wanawake ndo kikwazo cha maisha" sasa leo hii watawezaje kukuokoa wewe na wenzio ambao mnadhani bila wanawake maisha yenu yangekua bora zaidi?Nashangaa hata bado wanawake wako kwenye mawazo yako...hamia kwenye kisiwa kisicho na wanawake ili hata hiyo C usihitaji!
Kwa hili hata dunia inajua!!
Duuuh
Mkuu leo Wanawake waokoe wanaume???!!
Basi kumbe wanaoleta matatizo duniani ni wanaume na sio wanawake, maana wanaume ndio hutaka ku-do bila ndom, na mwisho wa siku magonjwa kibao ya zinaa duniani
Kichwa chako cha habari kinapingana na mada yako ya nyuma!Ulishasema kwamba "wanawake ndo kikwazo cha maisha" sasa leo hii watawezaje kukuokoa wewe na wenzio ambao mnadhani bila wanawake maisha yenu yangekua bora zaidi?Nashangaa hata bado wanawake wako kwenye mawazo yako...hamia kwenye kisiwa kisicho na wanawake ili hata hiyo C usihitaji!