wanawake sa ingine mnajifedhehesha!

wanawake bana,haya.

Shemeji yangu Bishanga, hebu tuwe wakweli hapa, ni nini kilichopelekea siri ya kudaiwa na TRA, asishee na mkewe???
Hebu hiyo nafasi yake ajitoe na kumweka mkewe hapo. Kuwa ni mke ndo mwenye matatizo na TRA kisha mkaka wa TRA akawa anawasiliana naye kwa kumsaidia bila kukujulisha, ungejisikiaje kama mume? Au ndo zile za
1. Mwanaume hapaswi kuonyesha madhaifu yake kwa mwanamke hata kama ni mkewe?
2. Mwanamke katu hawezitafuta ufumbuzi wa matatizo yanayomkabili pasipo kumhusisha mumewe??

Plz
 
hujambo Bishanga, tangu upigwe bumbuwazi umekuwa adimu.

Mama wa TRA mzima? Msalimie
 
Last edited by a moderator:
Yap hali hii ni kweli kabisa,ishu ya kuchukua cm ya mwenzako na kuanza kufanya mambo km hayo kwa hisia ni ufidhuli unaotakiwa kukomeshwa, siyo kila namba ya kike imtakaye mume wenu jamani, mpo ndani wasiwasi wa nn?
 
mshirikishe kwenye masuala muhimu sababu tatizo lako wewe ndiye lake pia, so ungemshirikisha kwa hilo sidhani kama angekurupuka tuu na kutuma msg mbovu or maybe she is notice something else
 
Kapango kapembeni na Kakatikati ni Mke wangu, akiamua kunichuna ananichuna mpaka atahakikisha ametosheka. Ndiyo starehe yenyewe kumuona malikia wa nyumba anafurahi toka rohoni siyo wa pembeni umkimpa fedha anafurahi ukiondoka unaitwa *****, ATM, Buzi n.k.
 

Bishanga,
muelimishe mkeo juu ya kutokuingilia mahusiano yako na mtu yeyote blindly! Muonye ajifunze kupitia wewe namna ambavyo anaweza kuhusiana na watu ulio na mahusiano nao, nikimaanisha ndugu, jamaa, marafiki e.tc. Zako!
Kama hatakuelewa. Nashauri uachane nae kwani huwezi kuendelea na mpuuzi/mpumbavu atakayekuharibia biashara zako!
Pole sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…