Wanawake sie mmmh !!

KakaNanii

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2008
Posts
325
Reaction score
52
Baadhi ya sehemu kubwa sana ya sisi wanawake ,hutumia watoto wao kama ngao yao ya kupata wao masilahi yao !
 
Baadhi ya sehemu kubwa sana ya sisi wanawake ,hutumia watoto wao kama ngao yao ya kupata wao masilahi yao !

Oohhh yes, wanawake wengi 'hulengesha' kwa wanaume ili wajazwe na kutengeneza mrija wa huduma kutoka kwa mwanaume. Sorry, akina dada kwa kuwa so open.
 
mmmh! what a claim from a woman.
 
Kuna kajuukweli ndani yake uhusuani wanawake wa nyanda za kulee
 
Baadhi ya sehemu kubwa sana ya sisi wanawake ,hutumia watoto wao kama ngao yao ya kupata wao masilahi yao !

kwani kosa hapo beste? hujui ushapu wa ngiri ni meno zake? kama vile sisi wanaume tutajisingizia na shughuli kibao na nyinyi pia lazima mtumie trick ipasavyo
 
Mi mtaani hapa nimesikiziwa nimewapa mimba wanawake watano ambapo sijawahi lala nao kisa ofa nazo wapa wanataka nilee mimba wengine watoto
 
Mi mtaani hapa nimesikiziwa nimewapa mimba wanawake watano ambapo sijawahi lala nao kisa ofa nazo wapa wanataka nilee mimba wengine watoto

Ungekuwa hufuatani nao yasingekukuta. Mimi wanawake ninaojua wanatumia watoto wao kama vigezo ni wale ombaomba
 
Wamezinduka , wameona wameukalia uchumi walionao......
 
Kwaupande wangu naona kumfanya mtoto wako ndio ATM kwa mume sio sawa as long as nyote mnafanya kazi....
 
hapo umenena.Eti kila siku mtoto anaumwa,mara ada ya shule na nguo +viatu, mara chakula kimeisha,eti oo gharama za maisha zimepanda laki moja kwa mwezi haitoshi inabidi iwe laki 2.5/3 kwa mwezi.Mkiambiwa pesa ngumu mnakimbilia Polisi,ustawi wa jamii na kwa waajili ili kuanza kunyanyasana,kuharibiana CV na kupotezeana muda .

JAMANI MNATUNYANYASA SANA NYIE WANAWAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…