Wanawake tu ndio wajibu hili swali.

Why underwear only? uliza pia nguo nyingne! maana nkienda cbebi ki2 na narudi nmebadili kila ki2, may b wakwako anakuzingua ukienda lazma utoke navyo ili mwngne hasivikute!
 
mashine huwa zimepata moto sana kiasi cha kuona pichu nzito, tunaziacha ili angalau tupigwe na kaupepo kupooza engine!!:A S embarassed:

kumbeee!!asante kwa ufafanuzi wako.
 
tusiwaseme tu kinamama hata sisi kwa mahawara zetu vifuniko huwa tunaviacha huko.
 
Ulikuwa hujui?
Yaani nzito kama nanga labda anikodie kenta ya kuibeba vinginevyo naiacha
kwahiyo unaondoka bila kufuli au mnabadilishana yeye anabaki na nzito afu wewe unaondoka na ya kwake nyepesi?
 
Imeshantokea na madem watatu tofaut na ktk kuwapeleleza wawili majibu yalifanana mmoja hakusema, sababu eti kila ninapoiona au kuishika namkumbuka na ctamchoka na nazd kumpenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…