Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,421
Hebu tuchukulie kwamba, kuna mwanaume amekutongoza kwa muda mrefu sana, na baada ya kujiridhisha kwamba yuko serious ukaamua kuwa na uhusiano naye ukiwa na matarajio makubwa juu yake.
Lakini, kumbe siku mlipokutana kimwili alikupiga picha kadhaa bila wewe kujua mkifanya mapenzi, na picha nyingine ukionekana kitandani kama ulivyozaliwa. Baadae unagundua kuwa jamaa huyo ni kicheche, yaani hajatulia. Unapomwambia waziwazi kuwa hupo tayari kuendeea kuwa na uhusiano naye kutokana na tabia yake hiyo, anakuonesha hizo picha na kukutishia kwamba atazisambaza mitaani na kwenye mitandao ya kijamiii ili kukudhalilisha. Anachotaka ni kukufanya mtumwa wake, ufanye vile anavyotaka na usithubutu kutaka kuachana naye.
Hebu niambie, kama ni wewe ungefanyaje?
Lakini, kumbe siku mlipokutana kimwili alikupiga picha kadhaa bila wewe kujua mkifanya mapenzi, na picha nyingine ukionekana kitandani kama ulivyozaliwa. Baadae unagundua kuwa jamaa huyo ni kicheche, yaani hajatulia. Unapomwambia waziwazi kuwa hupo tayari kuendeea kuwa na uhusiano naye kutokana na tabia yake hiyo, anakuonesha hizo picha na kukutishia kwamba atazisambaza mitaani na kwenye mitandao ya kijamiii ili kukudhalilisha. Anachotaka ni kukufanya mtumwa wake, ufanye vile anavyotaka na usithubutu kutaka kuachana naye.
Hebu niambie, kama ni wewe ungefanyaje?