A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,035 Jan 12, 2013 #21 Binti.com said: Siku zote zingine huwa anakuliwaza nani, na kwa nini asiendelee kukuliwaza? Samahani sisi tunao wetu tayari wa kuliwazana nao. Click to expand... ungekuwa wangu ningesema "That my baby"
Binti.com said: Siku zote zingine huwa anakuliwaza nani, na kwa nini asiendelee kukuliwaza? Samahani sisi tunao wetu tayari wa kuliwazana nao. Click to expand... ungekuwa wangu ningesema "That my baby"
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,035 Jan 12, 2013 #22 Tutor B said: Ambaye huwa ananiliwaza yuko mbali na anaendesha semina - hivyo kwa sim simpati na kuwa naye live ndo hivyo haiwezekani. Binti.com ongelea nafsi yako, usiseme kwa wingi. Click to expand... mkuu kwenda semina tu umeshindwa kuvumilia mpaka unaanza kuwatafuta kina Kaunga, [MENTION]bint.com[/MENTION], King'asti lol!? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Tutor B said: Ambaye huwa ananiliwaza yuko mbali na anaendesha semina - hivyo kwa sim simpati na kuwa naye live ndo hivyo haiwezekani. Binti.com ongelea nafsi yako, usiseme kwa wingi. Click to expand... mkuu kwenda semina tu umeshindwa kuvumilia mpaka unaanza kuwatafuta kina Kaunga, [MENTION]bint.com[/MENTION], King'asti lol!?
ummu kulthum JF-Expert Member Joined Feb 6, 2012 Posts 2,784 Reaction score 1,317 Jan 12, 2013 #23 mliwazo uko huku karibu pande za sgd