Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Hi haijakawa sawa hata kidogo.
Una masumbuko yako, unaamua kwenda kuombewa.
Unamkuta mchungaji ofisini kwake, unalia, unamuelezea matatizo yako weeee.
Gafla unaanguka miguuni pake namna hi...
Halafu hicho kinguo kilivyo chepesi, kinaangaza, ndani hujavaa kitu.
Mchungaji wa watu unamuweka kwenye akili gani?
Tayari mlango wa fahamu wa huko chini wa mwanaume ukifunguka, hauna kurudi nyuma.
Kumbukeni, Hawa wachungaji nao ni binadamu Kama wengine.
Wanashikwa na tamaa, na hamna ambaye hapendi usuguzi wa Gaga.
Tuwaonee huruma, Hawa na wenyewe Wana wake zao huko majumbani wanawategemea.
Mbaya zaidi ukisha mpa utamu mchungaji unataka kumpanda kichwani, umburuze weeee hebu tuache hizo mamboz. Hata Kama ndio kudanga this is too much
Una masumbuko yako, unaamua kwenda kuombewa.
Unamkuta mchungaji ofisini kwake, unalia, unamuelezea matatizo yako weeee.
Gafla unaanguka miguuni pake namna hi...
Halafu hicho kinguo kilivyo chepesi, kinaangaza, ndani hujavaa kitu.
Mchungaji wa watu unamuweka kwenye akili gani?
Tayari mlango wa fahamu wa huko chini wa mwanaume ukifunguka, hauna kurudi nyuma.
Kumbukeni, Hawa wachungaji nao ni binadamu Kama wengine.
Wanashikwa na tamaa, na hamna ambaye hapendi usuguzi wa Gaga.
Tuwaonee huruma, Hawa na wenyewe Wana wake zao huko majumbani wanawategemea.
Mbaya zaidi ukisha mpa utamu mchungaji unataka kumpanda kichwani, umburuze weeee hebu tuache hizo mamboz. Hata Kama ndio kudanga this is too much