Kuangalia hio avata yako wewe unatakiwa upewe bustani haswaaa sio maua tuπ€£π€£π€£kuna wengi tu wanajihudumia wenyewe kwa kila kitu wapeni maua yao aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi hauna speed ile inayotakiwa kuwa nayo kwa uzi wenye hoja kama huu
Sasa maswali ni je, wanawake wa JF hawana tabia ya kujihudumia? Ama je,ni kweli JF nzima ina jinsia ya kike watatu?
Au wanawake wa JF tuwape muda mmalizie game ya man city teh!
.....mlima kitonga niuone kama matuta ya nyanya.....πππ
Huduma zipii? Au ndo mipango ya kuji injika vimdoli kunako uvungu?Kuangalia hio avata yako wewe unatakiwa upewe bustani haswaaa sio maua tuπ€£π€£π€£
Umeiona hio sura ya avatar yake?. Hivi kuna mwanaume wa kumpa huduma na maua JKT madam?.Huduma zipii? Au ndo mipango ya kuji injika vimdoli kunako uvungu?
Mwanaume kazini ππππ
Wanawake wa jf wanasemaga hela za wakaka ni tamu!,huo muda wakujihudumia watautolea wapi...πUzi hauna speed ile inayotakiwa kuwa nayo kwa uzi wenye hoja kama huu
Sasa maswali ni je, wanawake wa JF hawana tabia ya kujihudumia? Ama je,ni kweli JF nzima ina jinsia ya kike watatu?
Au wanawake wa JF tuwape muda mmalizie game ya man city teh!