Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
kitasinyaa,kimezoea amsha amshaaMwambie tu japo sasa akitulize kidude chake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]msaidie ushauri mkuu..naona kampeni zinaendelea
Sasa we nae usiyejua wapi uweke X na wapi uweke S napo ujishaue hapa kwamba unapata kinyaa kuoa kisa mtu mmoja kajisikia kuongea vilivyoko akilini mwake? ShubamitHawa Dada zetu wanatumika vbaya mno hadi xometime naona kinyaa hata kuoa [emoji37][emoji37][emoji37]
😆😆😆kitasinyaa,kimezoea amsha amshaa
Haaaaa basi asitunange, sababu kaamua kukiacha wacha kipulizwe.kitasinyaa,kimezoea amsha amshaa
Hawakutaka umuoe binti yao asee!Acha tu ndugu yangu!! mimi niliambiwa milioni saba #yaani saba milioni..!!! ila wachaga wa Moshi- huru kule kwa diwani daaah waliniweza..!!!
Ulivyoanza sasa..."Eti nimekaa nimetafakari"..
Nyie mnaojisifu huwa nawataka sana niwaleEeh nimetafakari tu bro. Hamna aliekamilika kwenye hii dunia. Sasa wana JF si wameamua wanivamie na mie nimeamua kuwasusia Uzi
ke wenzako wote wamejifanya malaika as if hawayajui usemayo, kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.Eeh nimetafakari tu bro. Hamna aliekamilika kwenye hii dunia. Sasa wana JF si wameamua wanivamie na mie nimeamua kuwasusia Uzi
Kwetu mahari ni ngamia 100 au money equivalentUkienda kwao, unaambiwa mahari ni million mbili na nusu. Wazazi wangejua haya anayoyapitia binti yao, sidhani kama wangehitaji hata senti tano!
ke wenzako wote wamejifanya malaika as if hawayajui usemayo, kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.
Hahahah labda!!!Hawakutaka umuoe binti yao asee!
rightNdo walimwengu tuwazoee tu
Dooh...!!!Kwetu mahari ni ngamia 100 au money equivalent