Wanawake ,Tupeni Ushirikiano katika kipindi hiki cha mvua,

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
3,695
Reaction score
5,531
Kwanza kaeni mkijua,Hakuna mwanaume aloleta mvua ,wala mwenye uwezo wa kuleta mvua ,Vitendo mnavyotufanyia kipindi hiki cha mvua kaaeni mkijua mungu anawaona ..!

Mvua hizi zimetuathiri sana kisaikolojia hata kimwili wanaume wa dar na hata wale wa mikoani pia ,

Tafadhalini ;
Msikae mbali na simu zenu ,hasa katika kipindi hiki ,



Tukiwapigia muwe mnapokea,
Na sms muwe mnajibu kwa haraka ,

Tukiwaita basi mje ,
Gharama za usafiri ,bajaji pikipiki kutufata tulipo siwe na wasiwasi tutalipia ,
Yale maugomvi yetu ya zamani wakati huu sio mahali pake,

Mnahitaji muonyeshe utu wenu zaidi,

Betri ziko low! zinahitaji chajii...

Na huu ndo muda muafaka wa kuchaji betrii
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=

Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
 
Usisahau hata unga unazidi bei ya petrol ,ila ajabu walaji wa ugali ni wengi kuliko watumizi wa petrol

Acha uwoga wa maisha
maisha yalivyo ni kama mwanamke wa bar hayanaga mwenyewe
 
Hii itakuwa ya sayari nyingine.
 
kwani sisi ndo tumeleta sasa?
Hata nyie hamkuleta na sie hatukuleta ndomana nikasisitiza yatupasa tuwe kitu kimoja[emoji51] [emoji51] [emoji51]

kuhakikisha mvua tunaiyondoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…