Wanawake tuupinge huu mchezo!!

hii kitu inadhalilishaje mwanamke? Ina tofauti gani na normal entrance? Au kuingia kikawaida nako kunadhalilisha?
 
Hapa kazi ipo!!!Mi sielewi nichangie nini kwa maana muanzisha hoja anadhani ni wadada ndio wanashawishiwa ktk mchezo huu!!Amini pia kuwa kuna wadada wanakuanzishia wenyewe,yaani wanataka wao!hata senti hutoi hao unawaweka ktk kundi gani???Badala ya mwanamke kupigwa butwaa,dume ndo unaanza kujitetea!
 
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa

Ooopsss!!!!!:car:
 
Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa

Kwa hiyo walikuua au waliamua kufanya kile ambacho hukuchagua? Naomba ufafanuzi
 

Hii ndo tunaita USIFUATE MATENDO YANGU, FUATA MANENO YANGU . . . :roll:
 
video za ngono za kutoka nchi za nje ndio zinachochea hali hii. Kuna rafiki yangu ameeanza kuusifu huu mchezo baada ya kuuona kwenye video hizo.
 
video za ngono za kutoka nchi za nje ndio zinachochea hali hii. Kuna rafiki yangu ameeanza kuusifu huu mchezo baada ya kuuona kwenye video hizo.

atakapoenda kujaribu akajawa na m.a.v.i.ndipo atakapojua sio kila unachoona kina ukweli:coffee:
 
Sasa kuna wanaume na wanawake wanasikia hamu huko tu, ukisema tupinge wao wataishije?
 

Wadada hasa wa mijini mchezo huo wanaupenda sana, sijui kwa nini! Au sijui wanaambiana kwamba mwanaume usipompa m'atako atakwenda kwa mwanamke mwingine....!!
 
Inatisha sana maana hata mie nimesikia wanawake wa cku hizi wameingiliwa, wanafanya vitu vya ajabu kabisa!

Inabidi maombezi makubwa yafanyike kukemea uovu huu
hiki ni kitu cha ajabu sana, inabidi watu waache tamaa, maana kuna watu fulani wanaopenda hiyo kitu
 
Wewe ndo unaona ni mchezo mchafu kwakuwa ujapata wakukufanyia huo mchezo ukipata na kusukuma harrier utajilaumu kwa nini ulichelewa!!wapi!
 

Mhe. pamoja na ulizotaja, lkn kwenda bac ni sababu kubwa ya maambukiz na kuziba kwa urethra. Hata hivo nilivyomuelewa jamaa aliposema mwasisi sidhan kama ni huyo uliyemdhania. nadhan ni yule mwingine aliyesumbuliwa sana na kibofu kabla ya kufariki.
 
Kweli wewe ni jasili

Gari ni kitu kidogo sana, kuna siku
nilivamiwa na majambazi usiku wa manane, wakaniambia nichague kimoja ama waniue au wanifanye huo mchezo, mimi kwa ujasiri mkubwa sana nilichagua kuuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…