Wanawake; "umalaya ni cheyo na ni haki yetu ya msingi...."

Kuzini azini mumeo halafu wewe ukamvae kimada wake! Haya unamvaa kimada halafu unarudi nyumbani kwa mumeo na mnaendelea na maisha. Hujatatua tatizo hapo. Siku ingine akizini na kimada mwingine naye utaenda kumvaa? Na akiendelea kuzini nje utawavaa wote anaozini nao? Logic zingine matata kweli kweli.
 

manesi wanajua ku care wee acha tu.
 
uswailini si jambo geni hli,hata kama nipo rum stoki,tembelea mwananyamala au moscow
 
hivi umalaya maana yake nini nijulisheni tafadhali:rain:
 
huyo ndio mtu wa kuoa coz anajiamini...................
 
basi mimi malaya penda wewe sana:wink2:

ha ha ha! Na mimi malaya maana penda wewe pia.
Mimi penda maembe, juice, penda vitu vingi sana... Umalaya wangu mimi iko pitiliza kabisa.
 
Juzi juzi niliona kama hiyo pale break point mtumishi wa kike wanachakachuana na mtumishi mwenzake wa kiume!mke wa mtumishi akaja kuangusha valangati saa 4 asubuhi pale jikoni!duu palikua hapatoshi mwanaume alikimbia akaacha kina dada wanapigana
 
Juzi juzi niliona kama hiyo pale break point mtumishi wa kike wanachakachuana na mtumishi mwenzake wa kiume!mke wa mtumishi akaja kuangusha valangati saa 4 asubuhi pale jikoni!duu palikua hapatoshi mwanaume alikimbia akaacha kina dada wanapigana

Wakati aliyemsaliti alikua mwanaume!
 
omg,kinyaunyau kikiacha pweza.................. Hata................
 
hii imekaa vibaya sana....hama hiyo nyumba maana inaonekana inakaliwa na mashangingi......si nzuri kwa afya yako

Ha haaa sasa na wewe, afya gani kwani umalaya unaambukizwa kwa hewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…