Wanawake uzinzi una gharama kwenu kuliko wanaume

Wanawake uzinzi una gharama kwenu kuliko wanaume

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Kwanza niseme uzinzi si kitu kizuri kwa jinsia zote ila mwana mke ana athirika kwa kiasi kikubwa kutokana na maumbile yake.

(1)Kwanza nianze kwa kusema kuwa wanawake wazinzi ni mabingwa wa kutoa mimba yaani ni wauwaji na magaidi ,kama ww umetoa mimba huna tofauti na boko haram.

(2) Wakati ww unahangaika na ugumba ulio sababishwa ya utoaji mimba wa kiholele na umezaji wa vindonge vya kuzuia mimba ,wanaume ulio kuwa unafanya nao uzinzi watakuwa nyumbani na wake zao walio kuwa wanajua thamani ya miili yao na watakuwa na watoto wa kutosha.

(3)Na bado ukiamua kutotoa mimba ukisha zaa jina la usisingle mama ndo hilo lakini kwa upande wa mwanaume uliye fanya uzinzi na naye, yeye atakuwa ni dume la mbegu.

(4) Utasema uepuke mimba utumie kondomu lakini bado hauta kwepa matokea ya uzinzi ,maana mwana mke anaye liwa hovyo mbususu yake huwa inapanuka kama ziwa viktoria na matiti yake huwa yanadondoka na kama ndara za gesti.

(5) Mwanamke ukisha gundulika kuwa wewe ni mzinzi utabaki kuwa kipozeo cha nyenge za mabaharia tu wakitaka kuoa wanaenda kutafuta wanawake Wanao jua thamani ya miili yao.

Kiufupi gharama ya matokeo ya dhambi ya uzinzi ni kubwa kwa mwanamke nimeelezea kiufupi tu.

Na hayo niliyo yataja ni matokeo tu bado hujalipia dhambi yenyewe siku ukikutana na muumba wako.
Daah ngoja niishie hapa watu wasinipasukie maana nawaongea watu humu.
 
Umeandika vizuri ila sababu ya kukosa akili kutokana na malezi ya kisasa wanayopitia hawataelewa uzi wako na watachagua kuupuza.
Wanaelewa sana, na yanawakuta wengi so hawatataka kuagree hapa
 
Mzinzi KWA wanaomjua wasio mjua sio mzinzi.

KILA mtu kaoa kaolewa na ex mzinzi unaijuaje background ya uliyenae wakati mmekutana ukubwani. Tena wazinzi ndio wanaolewa haraka kuliko wasio KWA sababu wazinzi Wana chance ya kukutana na watu wengi sana hivyo chance ya wao kuolewa ni kubwa.

Ishu ya chuchu kulala kwa sababu ya uzinzi inategemea na maumbile, kuna mabinti wamebeba kijiji kizima au youtong 20 yaani abiria zaidi ya elf 1 still chuchu msumari.

Uzinzi si mzuri uleta ugonjwa wa kiroho na kimwili
 
Kilicho baki hapa waache tuendelee kuwachakata tu huku tukiwaheshimu wanao jitambua na kuwafanya wake hawa wanao taka tuendelee kushindana kugonganisha vikojoleo waache kwanza
haaaa kwamba tuwaache muendelee kuwachakata.
 
Mzinzi KWA wanaomjua wasio mjua sio mzinzi.
KILA mtu kaoa kaolewa na ex mzinzi unaijuaje background ya uliyenae wakati mmekutana ukubwani. Tena wazinzi ndio wanaolewa haraka kuliko wasio KWA sababu wazinzi Wana chance ya kukutana na watu wengi sana hivyo chance ya wao kuolewa ni kubwa.
Ishu ya chuchu kulala kwa sababu ya uzinzi inategemea na maumbile, kuna mabinti wamebeba kijiji kizima au youtong 20 yaani abiria zaidi ya elf 1 still chuchu msumari.
Uzinzi si mzuri uleta ugonjwa wa kiroho na kimwili
Mwamke mzinzi hata ajificheje kama uko makini utamjua mapema sana kuanzia mienendo yake na vitendo vyake labda uamuwe kutomfuatiria.

Alafu kingine mwanaume anaweza kuwa tiyari kuoa mwanamke mchawi lakini sio malaya na ndio maana unaweza kuta mtu anatoka Dar iliyo jaa kila aina ya wanawake wazuri anaenda kuoa mbeya vijijini kwa wenye sura baba zao.
Hakuna mwana ume anaye penda kuoa mwanamke ambaye amesha mwagiwa uchafu wa kila aina.
 
Kilicho baki hapa waache tuendelee kuwachakata tu huku tukiwaheshimu wanao jitambua na kuwafanya wake hawa wanao taka tuendelee kushindana kugonganisha vikojoleo waache kwanza
Unaakili kama yangu

Thread ifungwe
 
Mzinzi KWA wanaomjua wasio mjua sio mzinzi.

KILA mtu kaoa kaolewa na ex mzinzi unaijuaje background ya uliyenae wakati mmekutana ukubwani. Tena wazinzi ndio wanaolewa haraka kuliko wasio KWA sababu wazinzi Wana chance ya kukutana na watu wengi sana hivyo chance ya wao kuolewa ni kubwa.

Ishu ya chuchu kulala kwa sababu ya uzinzi inategemea na maumbile, kuna mabinti wamebeba kijiji kizima au youtong 20 yaani abiria zaidi ya elf 1 still chuchu msumari.

Uzinzi si mzuri uleta ugonjwa wa kiroho na kimwili
Malaya hata zikisimama, akawa na shape na ikabana lazima kuna kitu kitakosekana na atakosa ladha, Ukishamaliza unataka aondoke, humtaki hapo. Hujakutana na wanawake binti mrembo ila kila mtu akigusa mara mbili tatu anamsukumia mwingine. Anakuwa kama zombie sijui ni anapoa au ni nn kinatokea.

Malaya akiolewa mara nyingi anaachika. Kuna kitu nadhani huondoka kwa mwanamke anayeingiliwa na wanaume wengi.
 
Malaya hata zikisimama, akawa na shape na ikabana lazima kuna kitu kitakosekana na atakosa ladha, Ukishamaliza unataka aondoke, humtaki hapo. Hujakutana na wanawake binti mrembo ila kila mtu akigusa mara mbili tatu anamsukumia mwingine. Anakuwa kama zombie sijui ni anapoa au ni nn kinatokea.

Malaya akiolewa mara nyingi anaachika. Kuna kitu nadhani huondoka kwa mwanamke anayeingiliwa na wanaume wengi.
Ishu ya ladha ni suala la hisia tu.
Malaya anaachika KWA ishu ipi
 
Back
Top Bottom