Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]BABY HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BABY HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
Na Mimi naenda kuuza mpunga Kama KigwangalaNa hatuachi... VUMILIENI TU
Shikamoo mgunduzi wa helaWanaume tutafuteni pesa hakuna kingine [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1480001
🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahaaaaBABY HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
Wewe na pesa tena .. Kama Iringa na mkwawaNa hatuachi... VUMILIENI TU
Iringa wamejibrandi 🐕🐩Wewe na pesa tena .. Kama Iringa na mkwawa
🏝️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vizuri vyote huletwa na pesa dunia ya sasa sisi tusio napesa acha tuendelee kueneza vipindu pindu.[emoji1787][emoji23]
Stupid!. Fight ili hicho kipindu pindu kisije kikakuua ukitegemea kukaa nacho kwa ajili ya kuambukiza wengine. Umenikumbusha enzi hizo za sekondari za bweni kuna jamaa alikuwa anafuga gono kwa ajili ya kuwakomesha wadada powa waliokuwa wanatoa huduma ya kujiuza kwa wanafunzi wanaporudi shule kutoka likizo ili kuwachuna pocket money walizokuja nazo. baada ya kuwaambukiza anakunywa tetracyline usaha unakauka faster anabaki kusikilizia kelele za waathirika. Badala ya wadada powa kudhurika 90% ya wanafunzi waliugua wengine kushindwa kuhudhuria masomo hadi mkuu wa shule marehemu mkoba akaingilia kati na kuwaasa wanafunzi wake waache huo mchezo wasije wakaoza korodani wakashindwa kuzaa ukubwani.Vizuri vyote huletwa na pesa dunia ya sasa sisi tusio napesa acha tuendelee kueneza vipindu pindu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo mwana sio kabisa alikuwa ni mafia kabisa.Stupid!. Fight ili hicho kipindu pindu kisije kikakuua ukitegemea kukaa nacho kwa ajili ya kuambukiza wengine. Umenikumbusha enzi hizo za sekondari za bweni kuna jamaa alikuwa anafuga gono kwa ajili ya kuwakomesha wadada powa waliokuwa wanatoa huduma ya kujiuza kwa wanafunzi wanaporudi shule kutoka likizo ili kuwachuna pocket money walizokuja nazo. baada ya kuwaambukiza anakunywa tetracyline usaha unakauka faster anabaki kusikilizia kelele za waathirika. Badala ya wadada powa kudhurika 90% ya wanafunzi waliugua wengine kushindwa kuhudhuria masomo hadi mkuu wa shule marehemu mkoba akaingilia kati na kuwaasa wanafunzi wake waache huo mchezo wasije wakaoza korodani wakashindwa kuzaa ukubwani.