Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Dogo naona anataka nifike menopause. Mwishowe nikate tamaa nifunge pm bure, nipishane na shela la harusi bure. Hata kama ndo the older, the sweeter, sio kihivyo bana lol
Haha, the older the sweeter, subiri ukifika 30 ili uwe sukari bwana!
 
Hahaha sina hamu naye hata tangu alivyonikata kwenye lile tangazo lake la uchumba. Siamini mpaka kesho
Hivi kumbe ulikatwa!! Pamoja na kuwa na kigezo kimojawapo!! Tatizo dota eksipozha ndio ilikuponza. Ila vile vingine viwili nakuaminia.
 
Hivi kumbe ulikatwa!! Pamoja na kuwa na kigezo kimojawapo!! Tatizo dota eksipozha ndio ilikuponza. Ila vile vingine viwili nakuaminia.
Nisikatwe mchezo, ndo nimehamia kwa kui now, nakula x-pozha hatari. Nimeanza na ile eye piercing na kitovu[emoji33] [emoji33] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…