Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Bubu ataka kusema, aka BAK leo wameadimika, kweli wanazuia mabomu.
Ahsante. Ile x-pozha ya kula kwa vijiti tuipostpone tu Kwanza, juzi nusu niji-scorpion. Kweli kupata x-pozha si kazi rahisiHahahah!, karibu gal...lol
Ahsante. Ile x-pozha ya kula kwa vijiti tuipostpone tu Kwanza, juzi nusu niji-scorpion. Kweli kupata x-pozha si kazi rahisi
Hayo mambo me ningeyajulia wapi?Haha, sio wewe ndo umenifunza bwana..[emoji12]
We ndo joanah wa Edie Grant?Wanafungaje eti?
Sitoi hela kabla ya kula mzigo aisee.... utafurahiHahahhh eenh ajipange sio aje kulialia ooh niliombwa elf 50 ya tax mana ndio zao
shunie aniomba laki moja, 'bulifakini'(nimemkumbuka bibi yangu ndio lilikuwa tusi lake sijui hata kama alikuwa anajua anachotukana)
Mwambie Ngabu yatamshindaNimefunga lkn PM zinakuja sijui kwa nn
Weeh utoe hela kwanza ayo mambo ya kizamaniSitoi hela kabla ya kula mzigo aisee.... utafurahi
Hahahhh Cc Eli79Mwambie Ngabu yatamshinda
Nitakuambia pm alisema hata wewe ulimtongoza ha ha ha leo nmekua cha umbea kama namuona hapa akiona comments zangu chupi inavopata jashoNani huyo asie na adabu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu ninong'oneze kwanza!Nitakuambia pm alisema hata wewe ulimtongoza ha ha ha leo nmekua cha umbea kama namuona hapa akiona comments zangu chupi inavopata jasho
Khee hebu fanya kunambia aise....Nitakuambia pm alisema hata wewe ulimtongoza ha ha ha leo nmekua cha umbea kama namuona hapa akiona comments zangu chupi inavopata jasho
aisseeh!,asante kunizindua wanguKama zee moja humu jitu zima yani kuchat nalo tena kikawaida basi litascreenshot wee litatuma kwa watu, watu wengine sijui akili zipo kwenye mattako, kuna mimtu inakera
kwa imani gani juu yako..??Weeh utoe hela kwanza ayo mambo ya kizamani
Aisee nami nakuja pm, umbea suna.Nitakuambia pm alisema hata wewe ulimtongoza ha ha ha leo nmekua cha umbea kama namuona hapa akiona comments zangu chupi inavopata jasho
Nilikuja kugundua kwanini wanasema hivyo, alafu nikawadharau.Khee hebu fanya kunambia aise....
Kuna watu mabingwa wa kuzusha mambo sana.
Halafu aje aseme hadharani nilianzaje kumtongoza