Unafunga pm yako gen? Nakuja kutupia mtongozo saivi bana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeh!watu wabayaaa!!
umenifunza kitu mpenzi!!
kikubwa sana tu!
Wanaume hewa[emoji85] [emoji85] [emoji85]naomba ukiskia yangu tell me nkufungulie pm haki tena...[emoji57] [emoji57] [emoji57] halafu kutwa kutusimanga kumbe wao ndo washenzi baadhi yao mbwaaa....ptuuuu
mwanaume Mwenye kinaume sawasawahana huo ulofa
Mi mwenyewe nilivuruga ndio maana nikataka unistue.Hebu nistue nilivuruga mitambo kule nahisi
Wewe una chale nne kwenye mashavu....niliambiwa na mtu[emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23]Khee hebu fanya kunambia aise....
Kuna watu mabingwa wa kuzusha mambo sana.
Halafu aje aseme hadharani nilianzaje kumtongoza
Ha ha ha ha ha ngoja nilale mie nisijesutwa na kikundi cha wazee wenye ndevu kama za beberuHahahaaa nitakuchapaaaa!! Maana kama nishampata mpata, am familiar with ulichoongea.
Hahahhh Eli aliniita mm et shunie wa Ngabu alivyocomment kuniambia amekuja PM nikamwambia Ngabu wa Valentina akasema Ngoja Valentina aseme mwenyweHa haa Eli wa nini sasa
😀😀😀😀Wewe una chale nne kwenye mashavu....niliambiwa na mtu[emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaaa!! Tena na matarumbeta.Ha ha ha ha ha ngoja nilale mie nisijesutwa na kikundi cha wazee wenye ndevu kama za beberu
Wanajua madhumuni yao lkn sio salaam kila saaKan walio iweka iyo PM waliweka kwa Madhum Gan..??
Ndo lile lililokupakazia kipindi kile Mentor kaja na ile hadithi yake ya VVU?Kama zee moja humu jitu zima yani kuchat nalo tena kikawaida basi litascreenshot wee litatuma kwa watu, watu wengine sijui akili zipo kwenye mattako, kuna mimtu inakera
We Ngabu nina hasira na wewe ujueWewe una chale nne kwenye mashavu....niliambiwa na mtu[emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23]
Shunie unaish Wap...??Wanajua madhumuni yao lkn sio salaam kila saa
Ha ha ha afu bora hata asimulie tu kwamba Gen aliniomba nimkopeshe ha ha ha yani msg zoote tangu unaomba mkopo zinahifadhiwa watu wabaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeh!watu wabayaaa!!
umenifunza kitu mpenzi!!
kikubwa sana tu!
naomba ukiskia yangu tell me nkufungulie pm haki tena...[emoji57] [emoji57] [emoji57] halafu kutwa kutusimanga kumbe wao ndo washenzi baadhi yao mbwaaa....ptuuuu
mwanaume Mwenye kinaume sawasawahana huo ulofa
MabwepandeShunie unaish Wap...??
Nimefanya nini yena mie Valle?We Ngabu nina hasira na wewe ujue
Usikubali mtongozo wa Ngabu mwayaHahahhh Eli aliniita mm et shunie wa Ngabu alivyocomment kuniambia amekuja PM nikamwambia Ngabu wa Valentina akasema Ngoja Valentina aseme mwenywe
Naomba nije PM kukusalimia.Hatutaki usumbufu kaka
Sikubali mama anguUsikubali mtongozo wa Ngabu mwaya