Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

At the end, ni lazima watu wa integrate huko PM, iwe kiurafiki, kutongozana, kusaidiana kimawazo katika maisha nk.

Muhimu ni kujua nani hasa (japo bado ni anonymous kwako) anaweza kuongea na wewe bila kutoa mambo yenu. Kuna decent women in here, very decent na utaenjoy kuchat nao coz wamekomaa kifikra. Sio kila mtu wa kubadilishana nae mawazo.
 
At the end, ni lazima watu wa integrate huko PM, iwe kiurafiki, kutongozana, kusaidiana kimawazo katika maisha nk.

Muhimu ni kujua nani hasa (japo bado ni anonymous kwako) anaweza kuongea na wewe bila kutoa mambo yenu. Kuna decent women in here, very decent na utaenjoy kuchat nao coz wamekomaa kifikra. Sio kila mtu wa kubadilishana nae mawazo.
Mpaka leo bado nachoma mahindi... Yameungua na kuungua sijui kwanini hutokei tu
 
Mpaka leo bado nachoma mahindi... Yameungua na kuungua sijui kwanini hutokei tu
Valentina wewe sio mtu wa mchezo mchezo kabisa, yani wewe nakusalimia tu manake zaidi ya hapo nitapigwa za uso..teh[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
>>WANAFUNGA kwa sababu Hawajazoea mambo ya KIKUBWA >>wamezoea kombolela au cha babaa babaaaah!
 
Back
Top Bottom