Comment yako inekaa kwa kujikweza na kujiona sana mkuu. Sio vizuri. Kuna nadharia nyingi sana mtu akiku pm mambo halafu akapotea..Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtazamo wako, huwa naudhika sana mtu anakutumia message unamjibu kistaarabu then anapotea, inaonyesha wazi anakuwa ameamua kukuchezea tu. Fikiria vyovyote upendavyo ila mimi ndio nimeamua hivyoComment yako inekaa kwa kujikweza na kujiona sana mkuu. Sio vizuri. Kuna nadharia nyingi sana mtu akiku pm mambo halafu akapotea..
Usipende kuchukulia vitu negative mara nyingi.
Muono wangu tu..sorry
Hii comment imenifanya nicheke.Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unisubiri nakuja pm kwa mwendelezo sio kubeepNilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi Nisemeje niliekuPM Wewe Khantwe ki-staarabu na haujanijibu ??Ni mtazamo wako, huwa naudhika sana mtu anakutumia message unamjibu kistaarabu then anapotea, inaonyesha wazi anakuwa ameamua kukuchezea tu. Fikiria vyovyote upendavyo ila mimi ndio nimeamua hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 hiyo si barua ya kiofisi?Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Avatar MbayaaaaaaHata siwalaumu kutokukujibu.
Hahaha nini kimekuchekesha my diaHii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
HehehehheHii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Hata sielewi kama ni barua ya kiofisi au lah. Ila napenda msg ya mtu aliyenyooka kwenye mada moja kwa moja. Hususani kwenye social media.[emoji23] hiyo si barua ya kiofisi?
Kama vile umeiandika kwa hasira. Yaani nikawa kama nakuona.
Hahaha kwa hiyo ukiona mtu aliyekasirika unafurahi?Kama vile umeiandika kwa hasira. Yaani nikawa kama nakuona.
Wewe unaweza kunipm mimi? Wa matawi ya juu wenzio hujawaona?Na Mimi Nisemeje niliekuPM Wewe Khantwe ki-staarabu na haujanijibu ??
Haya.Avatar Mbayaaaaaa