Unajibiwa you cannot start conversation with recipient (wanataja I'd)
Sent using Jamii Forums mobile app
Una bahatiSawa binafsi sijawahi experience hiyo kitu labda vile naowatumia pm na wanao nitumia conversation inaenda fresh tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
PoaHapo anzia na "hellow cute" wanalipenda sana
kilicho akilini kitumie
Yaani utoto mwingi.Huyo atakua anajaribu swaga za vijana hadi anajikuta kapitiliza, anakosa kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!Mpendwa mimi sio binti ni bibi.
Mimi ilijifunga, nimewaandikia mods mpaka nimechoka nimeona niiwache tu hivyo hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Hawa wadada ID zao zinaanzia C,K,J,P, S,V,M Kuna donge nono kwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kilicho akilini kitumie
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee kazi kwelikweliMimi ilijifunga, nimewaandikia mods mpaka nimechoka nimeona niiwache tu hivyo hivyo
Pia kumbuka JF imebeba kila aina ya watu wastaarabu, werevu, pretenders wa kila tabia. Mfano unaweza kuta huyo anaesound mstaarabu ni bonge la sadist.
Wewe ndio maana nimekutag, naomba jibu. Unanichanganya hapa naona wanakutambua kama mwanamke, kuna uzi nimeona wanakuita Broo
Kazi kweli kweli au hapa kazi tu??
Hahaha unasema kweli kabisaPia kumbuka JF imebeba kila aina ya watu wastaarabu, werevu, pretenders wa kila tabia. Mfano unaweza kuta huyo anaesound mstaarabu ni bonge la sadist.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe niite vile upendavyoWewe ndio maana nimekutag, naomba jibu. Unanichanganya hapa naona wanakutambua kama mwanamke, kuna uzi nimeona wanakuita Broo
Sent using Jamii Forums mobile app