Wanawake wa JF tukutane hapa

Jf ina wanawake wambeya sijapata wahi ona......

Samahani kwa kuwaingilia katika mjadala wenu.....

Nilikuwa napita tu nikaona si mbaya kuacha neno....
 
Kwa humu jf wengi ni wazee na watoto.... Ila huyo jamaa mbn wakawaidaa ni handsome lkn hatishii[emoji125]
 
Jf ina wanawake wambeya sijapata wahi ona......

Samahani kwa kuwaingilia katika mjadala wenu.....

Nilikuwa napita tu nikaona si mbaya kuacha neno....
Nikweli unafikiri uongo ngoja nikupe like kabisaa, wambeya wakupindukia.
Mi me enyewe huwa nawashangaa majunguu matupu ukizingatia ni I'd fake
 
Nikweli unafikiri uongo ngoja nikupe like kabisaa, wambeya wakupindukia.
Mi me enyewe huwa nawashangaa majunguu matupu ukizingatia ni I'd fake
sure kabisa mkuu..... sometimes huwa najiuliza hivi hawa wanaweza olewa kwelii....

Hizo familia zitakuwa ni mikiki mikiki muda wote.... wana u much know uliopitiliza....
 
Hatari ii,.. Dokta ulimwengu lazima akutafune tu,muda si mrefu, naona unampa promo mdogo mdogo,


Uzuri wa mwanamume MASHINE sura ata mbuzi anayo
 
Jamani mbona naona wsnaume humu my dear huyo wa kawaida sana
 
Jamani mi mawaogopa wanaume ma hb utakufa na pressure
 
Sisi tunaokaa na mabosi wa tanzania huku Dodoma kila saa tunapishana nao kama njugu na unajichagulia tu sema huwa wanajishaua sana na kitandani sifuri
Ha ki anani wanawake mmetuchoka sasa sio kwa matusi haya
We Demiss ole wako nikakushika haaaaa utajuta
We jimwague tu na jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…