Wanawake wa JF tukutane hapa

Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
 
OMG! MBITIYAZA ntakuchapa, ole wako nikushike.


hahaha alinishangaza sana huyu dogo aisee eti anajiita hb !ila kiukwel huyu kaka umefanana naye !biora umekuja aisee !sema wewe nahakika hulambi lips !una extra...............................!thinichape dadako!
 
Hivi mnapoona Avatar zetu za ajabu mnahisi na sisi tunafanana na Avatar zetu?.

Kuna siku utakuja kuhamia kwangu na mabegi.
 
Sasa wewe Kasuku watu wanataka Ma-HB wewe unajishika kiuno, hicho kiuno inaonekana wanakipangua kila siku, Mwanaume unasimamaje kwa msaada wa kushika kiuno!!!

Wasukuma Mwendeni taratibu na mitandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…