Mshkaji wake..Ayaaa tena ni mwanaume mashine halaf naona yupo karibu na idris sultan
AkuuuuMtaje basi
Vimeo ndio vipiga keleleWapoooo...ila vimeo navyo vipo vya kumwaga.
Kumbe huyo Rrondo?sikujuaa
Kawaida tu ,kama alikutumia ya kudownload?Mama Sabrina unapenda HB wewe eti!!! Mi hawanivutiagi hata kiduchu wala kunisisimua, humu sijakutana na mtu yeyote ila kuna mkaka alituma pic yake pm ebana eh HB wa adabu
Wahi mama.. sema mi namuonaga kawaida tuTutafurika pm, ngoja niwahi foleni...
Embe bovu....Hahahaha embe lipi sasa?
Nimechekajee
ID yako ya zamani ni ipi?Nilikutana na wa hivyo ila alichonifanya sina hamu nae
Nadhani anatumia uzuri wake kutapeli pesa wanawake
UsinisahauTutafurika pm, ngoja niwahi foleni...
Huyo sio mzembe mzembe mkuu... huyo ex gf wake alikua kisu hatarii yani kummliki mtoto kama yule ilikua sio jambo dogo sema wajanja wakamuwahi wakampeleka demu ChinaNa uzuri hivyo unavyomuona hapo hawezi kumiliki mke, wa aina hiyo wanapenda sana zile mambo za 0713 na aende amdanganye kaka yake au baba ampe hela akupeleke sehem mle bata basi akiona unakuja na makubwa anatafuta visa anakuacha
Eti alikuwa nani huyo my sweetheartMama Sabrina unapenda HB wewe eti!!! Mi hawanivutiagi hata kiduchu wala kunisisimua, humu sijakutana na mtu yeyote ila kuna mkaka alituma pic yake pm ebana eh HB wa adabu
Sio lazima ufe nae,,,unapita tu kama njia na kuendelea na safari yako,,,unaweza kuta kaoa huwezi juaNa uzuri hivyo unavyomuona hapo hawezi kumiliki mke, wa aina hiyo wanapenda sana zile mambo za 0713 na aende amdanganye kaka yake au baba ampe hela akupeleke sehem mle bata basi akiona unakuja na makubwa anatafuta visa anakuacha
Hb bana, anavutia kwakweliWahi mama.. sema mi namuonaga kawaida tu
HaahahhaahahEmbe bovu....
Embu nitumie na mie hiyo picha love.. naweza mtunukuMama Sabrina unapenda HB wewe eti!!! Mi hawanivutiagi hata kiduchu wala kunisisimua, humu sijakutana na mtu yeyote ila kuna mkaka alituma pic yake pm ebana eh HB wa adabu
SawaAkuuuu
Ex wake nani huyo?Huyo sio mzembe mzembe mkuu... huyo ex gf wake alikua kisu hatarii yani kummliki mtoto kama yule ilikua sio jambo dogo sema wajanja wakamuwahi wakampeleka demu China
mi napenda swaggz zake tu za kichuga chuga... ila hajanivutia labda sababu nilikua namjua ni shemejiHb bana, anavutia kwakweli