Wanawake wa JF!!

KK utanisamehe.... nimeona hapo tu kwenye red, nimeanza maombi rasmi uweze fanikiwa huo uwezo......
Kwanini usiniambie wapi tukutane tufanye maombi wote??au maombi yenu yana masharti lazima uwe huna........!
 
haka kasiredi katanifanya nisitoke tena....dah
 
Kwanini usiniambie wapi tukutane tufanye maombi wote??au maombi yenu yana masharti lazima uwe huna........!


KK umetikatisha nilikua kwenye maombi, but dont worry haya maombi yahitaji kila mtu aombe peke yake, afunge, asionge na mtu ndo Mungu anapokea haraka.....
 
KK umetikatisha nilikua kwenye maombi, but dont worry haya maombi yahitaji kila mtu aombe peke yake, afunge, asionge na mtu ndo Mungu anapokea haraka.....
That is chakachuaring!!!
 
wao wanakuwa mabingwa wa infii.hata umuwinde kama ngedere,humkamati na ukimkamata anachakachua ushahidi!
<p>
<font size="3"><font color="purple"><i><b>KK na vipi kuhusu wanaume wa JF??</b></i></font></font>
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Haya mambo hayana fomula kihivyo, unaweza kukuta wale wataalamu wenye busara hapa MMU ndio yanawashinda mbaya mbofu

Si unajua tena mwanaume mjuaji sana mbele za wenzake akifika home anafyata mkia!
 
wao wanakuwa mabingwa wa infii.hata umuwinde kama ngedere,humkamati na ukimkamata anachakachua ushahidi!
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

hahahahaha lol
dahh kweli umenichekesha
jinsi ulivyoelezea hapo dear
nikama CCM na Chadama duhh
hivi kweli ataweza ku chakachua
ushahidi kama unao hapo mkononi??
 
wengine huwa hatuelewi wala hatushiki mpaka tufundishwe kwa vitendo sio na keyboards
 
hahahahaha lol<br />
dahh kweli umenichekesha <br />
jinsi ulivyoelezea hapo dear <br />
nikama CCM na Chadama duhh<br />
hivi kweli ataweza ku chakachua <br />
ushahidi kama unao hapo mkononi??
<br /
Punguza haraka Baby Gal right?
 
Unakaribishwa ila une na Ambulance ya kukupeleka muhimbili fasta na hizi foleni unaweza kufa kabla ya kufika huko unakotakiwa kwenda.

karibu sana utuone wengine ni wazee ukituona hata hamu ya ku-do inakuisha.
 
Unakaribishwa ila une na Ambulance ya kukupeleka muhimbili fasta na hizi foleni unaweza kufa kabla ya kufika huko unakotakiwa kwenda.

karibu sana utuone wengine ni wazee ukituona hata hamu ya ku-do inakuisha.
Hahahaha....eti hata hamu ya kudo inamuisha!!Asante kwa kunifurahisha mpendwa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…