KK na vipi kuhusu wanaume wa JF??
good call
Mjanja wa mapenzi wala mwenyewe hajisifii na wala hajielewi NASSOR JANGWA MTANDAONI.
hahaahah lol
naona ndo umeamka..
hakuna aliechafua jukwaa muheshimiwa
mmmmmhhh Mzima lakini wewe??
okidokiiiiii
Siku zote wazungu walishasema hata sisi waswahili tulisha sema misemo hii,Kizuri kula na nduguyo,Sharing is caring!Kwani mimi sijaundwa..au umeona sielei?Hee, utuoe wote? Wengine wake za watu.
Usione vinaelea, babu wee, vimeundwa!
Kaka mbona unaifanya kufru, unatangaza "porn" na "Qur'an" pamoja kwenye ukurasa huohuo wa hiyo link uliyotuwekea? Haifai hivyo. (AstaghafiruLlah). Nimekuta hivii:
"Extreme Hot Porn - Free Preview vids
KARIBU KATIKA UKURASA HUU. UTAPATA HABARI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA, MAGAZETI YA LEO, DOWNLOAD QURAN MP3 NA MAFAILI YA MUZIKI TOFAUTI HAPA. Ukurasa huu umetengenezwa na Nassor Kassim Jangwa."
Afrodenzi Kuhusu wakaka wa JF kuna siled imefunguliwa na mtu hivyo nimejibu huko hapa ni wanawake wa jf don't mixer up da ting!
nipe basi hiyo link
chank you ..
Afrod mbona umeikazania sana hiyo ya wakaka wa jf? kwema? ama unataka ukiiona tu uanza ku-vent!! LOL
hahahahahah
nadhani ni vizuri tu
kuangalia pande zote
mbili za shilingi au kuna ubaya??
Siku zote wazungu walishasema hata sisi waswahili tulisha sema misemo hii,Kizuri kula na nduguyo,Sharing is caring!Kwani mimi sijaundwa..au umeona sielei?
ha ha ha haaa aaaaaaaaa KK hbr ndo hiyo ushaanza kudondokewaa ila angalia wengine sio!!!!!!!!!mh! KK naona umejivua gamba.....:nono: