Tutole uzinzi wako unatongoza malaya halfu unajisifu we ni mjinga kwelikweli ufahamu wako wote umefunikwa na uasherati Mungu akusaidie sana kupitia mwanae Yesu ukapate kuijua njia ya uzima na kuacha kujisifu kwa ajiri ya uzinziwe unatongoza machangu halafu unajisifu, machangu hata ukitongoza 100 hamna atakaye kataa wala kusema nipe muda nikajifikirie, we mwanamke unakaa nae hoteli ujue changu huyo mstaarabu angekumbuka kurudi nyumbani.
nenda kajipange
Asante, naomba Mungu anisamehe.Tutole uzinzi wako unatongoza malaya halfu unajisifu we ni mjinga kwelikweli ufahamu wako wote umefunikwa na uasherati Mungu akusaidie sana kupitia mwanae Yesu ukapate kuijua njia ya uzima na kuacha kujisifu kwa ajiri ya uzinzi
huku wamejaa wasukuma na wengine toka kigoma etc. nimeishi hapa kwa miezi miwili sana, huwezi amini, kila mwanamke ninayekutana naye mara ya kwanza na kumtongoza, anakubali. siku ya kwanza, nilimkuta mmoja kazini kwake, nikamwomba anipe tunda akakubali. ya pili nimekaa zangu naenda dukani nikamtongoza wa dukani akakubali, nimetongoza karibia wanawake kumi, wote wanakubali. nimelala na mmoja tu, wengine nilikuwa nawaahidi kuwadooo afu nalala mbele. uyo naye alikuwa mzuri sana, huwezi amini alikubali kwenda kupima tukapima kwanza ndo tukadooo. SWALI; HIVI WANAWAKE WA HUKU HUWA HAWAKATAI? AU IMENITOKEA MIMI TU......
ACTUALLY kwa kukusaidia, ni kwamba mara nyingi huwa nafanya biashara za madini, nilikuja hapa kahama/Kakola kutokea Geita na Nzega. home ni dsm. nimeondoka dsm nina miezi kama sita hivi, nisingeweza kukaa vila mwanamke, ndio maana nikatafuta mademu. nilichokuwa nasema ni kwamba, mikoa mingine nilikokuwa napita wanawake si warahisi hivyo, lakini hapa amini usiamin, ukitia ndoana tu unavua samaki. kilichokuwa kinanifanya niwaache wengine ni kwamba, huu ni mji wa madini, kuna watu wana pesa sana, na ngono zipo nyingi sana, kwa wale wanaoijua kahama, jioni ukienda pale Rocky hill hotel, utaona namna machangu walivyo wengi....wanawake karibia wote hapa hata wasio machangu nafikiri wakiona mtu anaonekana kama mgeni au anazo, wanafikiri wananufaika awape pesa, kwasababu watu wa madini wamezoea kutapanya pesa kwa namna hiyo....sasa wewe mwenzangu, unasema labda nitakuwa shoga, shoga anatongoza wanawake, hahaha. acha mambo ya ajabu bwana.
kwenu nyie wanawake, ukitongozwa na mwanamme ukakubali bila kipingamizi, anaweza kukukimbia, mbona bila upinzani? au una ngoma? mbona mrahisi kihivyo?, pia kwako wewe unayesema sikupima, nilipima, na kadada hako nakaa nako hapa hotelini hata sasaivi kametoka nje tu, ila tulipima, na bado natumia kondom pamoja na kwamba nimepima....upo?
we unatongoza machangu halafu unajisifu, machangu hata ukitongoza 100 hamna atakaye kataa wala kusema nipe muda nikajifikirie, we mwanamke unakaa nae hoteli ujue changu huyo mstaarabu angekumbuka kurudi nyumbani.
nenda kajipange
limbukeni wa mapenzi wewe, we umetembea wapi Tanzania hii, unaleta dharau kwa kufika kahama na kuona wanawake wanakukubali kirahis, wana lengo lao wakikuliza utarudi kwenu na kandamabili-chezea malaya utaona kitakachofuata
ACTUALLY kwa kukusaidia, ni kwamba mara nyingi huwa nafanya biashara za madini, nilikuja hapa kahama/Kakola kutokea Geita na Nzega. home ni dsm. nimeondoka dsm nina miezi kama sita hivi, nisingeweza kukaa vila mwanamke, ndio maana nikatafuta mademu. nilichokuwa nasema ni kwamba, mikoa mingine nilikokuwa napita wanawake si warahisi hivyo, lakini hapa amini usiamin, ukitia ndoana tu unavua samaki. kilichokuwa kinanifanya niwaache wengine ni kwamba, huu ni mji wa madini, kuna watu wana pesa sana, na ngono zipo nyingi sana, kwa wale wanaoijua kahama, jioni ukienda pale Rocky hill hotel, utaona namna machangu walivyo wengi....wanawake karibia wote hapa hata wasio machangu nafikiri wakiona mtu anaonekana kama mgeni au anazo, wanafikiri wananufaika awape pesa, kwasababu watu wa madini wamezoea kutapanya pesa kwa namna hiyo....sasa wewe mwenzangu, unasema labda nitakuwa shoga, shoga anatongoza wanawake, hahaha. acha mambo ya ajabu bwana.
kwenu nyie wanawake, ukitongozwa na mwanamme ukakubali bila kipingamizi, anaweza kukukimbia, mbona bila upinzani? au una ngoma? mbona mrahisi kihivyo?, pia kwako wewe unayesema sikupima, nilipima, na kadada hako nakaa nako hapa hotelini hata sasaivi kametoka nje tu, ila tulipima, na bado natumia kondom pamoja na kwamba nimepima....upo?
ACTUALLY kwa kukusaidia, ni kwamba mara nyingi huwa nafanya biashara za madini, nilikuja hapa kahama/Kakola kutokea Geita na Nzega. home ni dsm. nimeondoka dsm nina miezi kama sita hivi, nisingeweza kukaa vila mwanamke, ndio maana nikatafuta mademu. nilichokuwa nasema ni kwamba, mikoa mingine nilikokuwa napita wanawake si warahisi hivyo, lakini hapa amini usiamin, ukitia ndoana tu unavua samaki. kilichokuwa kinanifanya niwaache wengine ni kwamba, huu ni mji wa madini, kuna watu wana pesa sana, na ngono zipo nyingi sana, kwa wale wanaoijua kahama, jioni ukienda pale Rocky hill hotel, utaona namna machangu walivyo wengi....wanawake karibia wote hapa hata wasio machangu nafikiri wakiona mtu anaonekana kama mgeni au anazo, wanafikiri wananufaika awape pesa, kwasababu watu wa madini wamezoea kutapanya pesa kwa namna hiyo....sasa wewe mwenzangu, unasema labda nitakuwa shoga, shoga anatongoza wanawake, hahaha. acha mambo ya ajabu bwana.
kwenu nyie wanawake, ukitongozwa na mwanamme ukakubali bila kipingamizi, anaweza kukukimbia, mbona bila upinzani? au una ngoma? mbona mrahisi kihivyo?, pia kwako wewe unayesema sikupima, nilipima, na kadada hako nakaa nako hapa hotelini hata sasaivi kametoka nje tu, ila tulipima, na bado natumia kondom pamoja na kwamba nimepima....upo?
naona demu ni wewe, manake ulivyoninyamba, utafikiri mwimba taarab, hadi vidole utakuwa uliweka juu wakati wa kuandika post hii. punguza hasira, wanaume hawana mahasira ya kike kike kama wewe. unajuaje kama nilikuwa nimeframe tu hii topic yote? nyambafuuuuuuuuuuuu!Sio ushoga tu udemudemu hasa. Hebu zingatia nilipoweka bold halafu uone ujinga wako.
Umesema (kwenye main topic) kuwa hujui kama wanakupapatikia wewe au watu wote, halafu wewe huyo huyo unatuambia tena kuwa Kahama ni mji wa madini kwa hiyo wakimuona mtu mgeni wanajua watapata fedha, sasa kumbe unajua KILA MGENI ANAKUBALIWA KIRAHISI, mbona unauliza kama ni wewe tu kama sio kujishaua?
huku wamejaa wasukuma na wengine toka kigoma etc. nimeishi hapa kwa miezi miwili sana, huwezi amini, kila mwanamke ninayekutana naye mara ya kwanza na kumtongoza, anakubali. siku ya kwanza, nilimkuta mmoja kazini kwake, nikamwomba anipe tunda akakubali. ya pili nimekaa zangu naenda dukani nikamtongoza wa dukani akakubali, nimetongoza karibia wanawake kumi, wote wanakubali. nimelala na mmoja tu, wengine nilikuwa nawaahidi kuwadooo afu nalala mbele. uyo naye alikuwa mzuri sana, huwezi amini alikubali kwenda kupima tukapima kwanza ndo tukadooo. SWALI; HIVI WANAWAKE WA HUKU HUWA HAWAKATAI? AU IMENITOKEA MIMI TU......