Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
kwa hiyo tuna kila right kuwa defensive.......eh! Ben uko wapi nikununulie kahawa?
Ha hahhahah,Nipo New delh mkuu.
Huku kahawa,haitapita summer noma ila niwekee Soon nitatua Bongo nikimaliza pepaz,lol
Limits .........mhhhhhh but how do you limit meeting watu?