Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Huyu mwanamke alivyolala kanikumbusha mbali sanaJamani hivi Tanga Kunani? Toka Nimekua na Kubalaa nasikia tu kuwa ukipata Mwanamke wa Kitanga Unasuki na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti wa Kitanga wana nini ? Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama Njungu.....Tufahamisheni jamani Wanaojua.View attachment 974624View attachment 974626
Kuna wanawake wapenda pesa kama watanga? Pesa kumpelekea mama yakeWanajua mahaba!wanajua kubembeleza wanaume, pia kitandani wapo vizuri wanachangamkia ndizi vizuri, hawana mahitaji makubwa ni wewe uamue kumpa pesa.Wanajua kupika vyakula aina zote!Yaani hawana pressure.Mchaga chapati hajui kupika
Kwa hiyo wewe mla tigo hauna kosa sio aliye kupa ndio mkosaji ulaaniweHawana lolote zaidi ya kukuroga na kukupa tigo ( kwa wapenzi wa hio)
Hata uandikaje huwezi kutuchafua wanawake wa Tanga yaani tutabaki juu siku zote.Hkna wanawake wapenda hela kama hao wa kitanga kwa taarifa yako mkuu, Kwani ww unafikiri neno mwanaume suruali limetokea wapi? Uko uko kunani, kwa mahaba ni mahodari sana hilo halina mjadala