Wanawake wa kitanzania!

ukipendeza kila mtu akakutazama unajiskia vizuri zaidi inakupa confidence........tunaacha wazi tukijua tutavutia attention na tunaipata haswaa!
<br />
<br />
cku zote psychology ya mwanaume inajaji vile ww ulivyo.ukimuona mwanamke anayeachia maungo yake unafikiria,nikimpata huyu kwa cku moja itakuwa safi sana.ila ukikutana na aliyejiheshimu unatamani hata angekuwa nkeo.! Lakini,kwa nn mnakuwa kimauzo hata sehemu za kazi.?
 

Kuna unafiki wa hali ya juu kwa wale watetezi wa hizo zinazodaiwa kuwa ndiyo mila na tamaduni za Kiafrika.
 

Ni kweli utamaduni umeshachakachuliwa kwa wachakachuaji kufikiria uigwaji ya kigeni kwamba ndio maendeleo. Na sasa kwa mbali naona uigwaji wa tamaduni za kigeni wa biashara ya ukahaba umeanza kushamizi ambao katika nchi za wenyewe unajulikana kama escort. Wanafunzi badala ya kufanya homework weekend tusipoangalia watajiingiza kwenye hii biashara ya escort na madhara yake tutakuja yaona, kwani kwa sasa ni usiri tu lakini vyombo vya usalama ambavyo vina dhamana ya kulinda hayo kama umoja wa wanawake hawaigutui serikali na vyombo husika.
 

Huo ndio ukweli na hali halisi ilivyo. Ni kama mtu hana akili nzuri vile wakati wapo wazee wanajadili mambo muhimu halafu mwingine ananza kupiga ngoma ya utamaduni. Au Hakimu kuingia mahakamani amevaa pajama, mcheza mpira kuingia uwanjana amejitanda kanga, au mchungaji au shehe kuingingia madhabahuni kuongoza ibada hukua kavaa bukta na cape za yanga ua simba, au rais kwenda kukagua gwaride anajitokea kavaa kaputula ya ngumi(boxing) ni vichekesho tupu wandugu. Kila kitu kina nafasi yake. Hata wale wanaopita kwa mfalme Mswati ni katika tukio muhimu lililoandaliwa kwa nafasi hiyo sidhani kama wasichana wale wanajirahisisha hivyo kila siku vinginevyo wasingebaki bikira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…