Wanawake wa mikoani wakija mjini wanakuwa kituko tu

[emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Unadhani wa mikoani tu hilo ni kwa wale wote wasiokubaliana na uumbwaji wao kutoka kwa aliye juu. Tena wa mijini ndio wengi wenye tabia hiyo mkuu.

Wakiona wenzao wamejaliwa basi wanataka wafanane nao.

[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] my sister
 
Nyie wanaume ndio mnafanya hadi wadada wanahangaika kiasi hicho!

Mtu akiwa "flat" hammtaki
 

sahv sioni nitaangalia vizuri baadae
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
Hahahhaha sio wa mikoani tuuu ,,, tena wamjini ndo shida ,,siku izi sana vitaiti vyao vimewekwa sponji ,, changanya na mchina ,,,,uje uchanganye na side effect zamadawa mf ARVs ......utamtaka!..

Tena bora yake huyo hata kwamacho tu unagundua kalazimisha ,,,, wamjini bana kuwajua nikazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…