Wanawake wa pwani

Kijana LOGICS

Senior Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
140
Reaction score
536
Wanawake wenye asili ya Pwani, Tanga Lindi na Mtwara ni exception.

Atakupenda, atakueshimu ila kuchepuka kwao ni kawaida na ni fahari kwao.

Reflection yake ni unakua na furaha ila laana ya kuchepuka itakuja kutafuna generation.
 
Wanawake wenye asili ya pwani ,tanga Lindi ,n'a mtwara ni exception .

Atakupenda, atakueshimu Ila kuchepuka kwao ni kawaida na ni fahari kwao

Reflection yake ni unakua n'a furaha Ila laana ya kuchepuka itakuja kutafuna generation.
Mkuu kuna makabila kwao kuchepuka/ kugawa ni sunna. Uwepo wa magonjwa ambukizi ya ngono ndio kidogo imepunguza uchepukaji wao.😄
 
Hamna kanda isiyokuwa na wanawake wanaochepoka....do your research....uchepukaji wa mwanamke ni wa Siri mno.

Sema tu Pwani ni matrilineal region....wanawake wanachepuka Kwa kujiamini, hawaogopi kuachika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…