hizo nyama choma na bia ulitaka wanaume wale wenyewe?
Ushachakachuliwa jomba?!mbona unalia hivo?!Yaani mnamkuta mdada.. Asubuhi akiamka yuko Bar anakula supu mchana Bar tena chips jioni yuko ktk pedicure n manicure anajiandaa na mtoko. Usiku ukiingia yuko Bar tena nyama choma na bia. Sasa unajiuliza hivi huyu anapika saa ngapi? Anafanya usafi saa ngapi? Ukimuoa mdada kama huyu si unajiandalia ugonjwa wa moyo? Je ataleaje watoto? Au ndo walewale anamnyonyesha wiki 1 then maziwa ya kopo yanahusika. Ndo wonda mitoto ya siku hizi vichwa maji cz tangu tumboni keshakunywa bia viroba konyagi maziwa ya kopo ya kutosha. Badilikeni dadazangu! Othawize mtamegwa sana na minjemba.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Badilikeni dadazangu! Othawize mtamegwa sana na minjemba.
Give me a breaaaaaaaaak! We ushaona huyo dada bado hajapata mwenza, sasa hizo ni katika promo, biahsara ni matangazoo! Ohooo! Unataka ashinde na mkaa jikoni afu nani amuone? Muuza mkaa au samaki? Aaaaah! Mwache mwenzio aende sehemu kwenye inteterlect minds apate nae interlectual wake! Samaki havuliwi shambani katuuu! Hizo manicure muhimu, we mkeo kakomaa mikono kwa kufua nepi na kodrai zako, utataka nyumba ndogo mikono lainiii!