Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa namtazama celina kombani
kwenye tv akizungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa
nikawa najiuliza is she married????
I mean wanawake wabunge na mawaziri ambao ni
single au dirvoced,ni akina nani?????
I am just curious..........
huu ni udaku wakubwa!
Mtu kasimama kama kiongozi wewe unaanza kumwangalia na kumtathmini kama kaolewa ama lah!
vc....
Kiongozi kujua kama hajaolewa ni muhimu huwezi
jua nani ana influence maamuzi yake thru relationships.
Just curious.....
Ndo maana nchi za wenzetu watu huwa wanaangaliwa
mpaka wapenzi wao wakoje....
Kwetu si culture labda but...things change...
the same applies to male leaders.... Many decisions are made in bedrooms and proclaimed in boardrooms mkuu boss... Huu ndio ukweli hahahahah
sawa sawa vc...
Ndo maana waarabu huwa hawataki
kuongozwa na wanawake...
Wasiwasi wao kuwa akipata bwana
nje basi nchi zao zitauzwa.....
Unajua natamani kupata orodha ya wabunge wanawake ambao ni
single ili nione maamuzi yao yanabadilika badilika au yanakuaje
mfano mbunge single wa chadema akipata bwana wa ccm?????
Umenipata?????????
sawa sawa vc...
Ndo maana waarabu huwa hawataki
kuongozwa na wanawake...
Wasiwasi wao kuwa akipata bwana
nje basi nchi zao zitauzwa.....
Unajua natamani kupata orodha ya wabunge wanawake ambao ni
single ili nione maamuzi yao yanabadilika badilika au yanakuaje
mfano mbunge single wa chadema akipata bwana wa ccm?????
Umenipata?????????
the boss, ahsante kwa ufafanuzi.
ikija kwenye maamuzi ya kitaifa, hakuna cha mwanaume wala mwanamke, kisu kinakata huku na huku.
...hata mwalimu jk nyerere pale kilimanjaro hotel alisema " hatutaki kiongozi anayechukua maamuzi ya mkewe...!"
...unakumbuka hata hillary clinton alimaka hivi...
http://www.youtube.com/watch?v=di-uboc5dki&feature=related