Wanawake WAJAWAZITO

hii ni laana! unapenda mimba za wanaume wenzio?
 
when you think you have seen it all.....
 
Wewe Nyivonduma wala usipate shida, kuna baa moja ambayo wahudumu wake ni wajawazito tu... ni PM nikuelekeze mzee ukaburudishe roho yako, hakuna kuhangaika na dala dala... 🙂
 
Wewe Nyivonduma wala usipate shida, kuna baa moja ambayo wahudumu wake ni wajawazito tu... ni PM nikuelekeze mzee ukaburudishe roho yako, hakuna kuhangaika na dala dala... 🙂

Mkulu hii hali inanisumbua najihisi vibaya nataka kuiacha am too kind and nice to pregnant women, mpaka nahisi watoto wengine watazaliwa wanafanana na mimi. Imefikia kipindi jogoo apendi manara kama sijaona mwanamke mjamzito. Nataka kuiacha nilienda kwenye maombi ili niombewe lakini mchungaji akasema shika panapokuuma nikashindwa pa kushika nisaidieni jamani.
 

hahahahaha...this is classic
 
hahahahaha...this is classic

si angeshika moyo unaomsukuma kufanay ahivo eti B?

lakini Nyivo...kuna ubaya gani kuw anice and kind to people who may need youe assistant kama hao wajawazito??
endelea kuwasaidia kw ania njema though usije ukawa na lako jambo...
 
ha ha ha ha ha hivi mnajua maana halisi ya hili neno nyivonduma?
 
This has got to be one of the sickest fantasies....SMH...
 
This has got to be one of the sickest fantasies....SMH...
Kwa kweliiii Ngabu umenena...natumaini huyu jamaa kukidhi haja unabidi uongezege na masikio kabisa. Tena utongozaji wa hawa wa mama ni rahisi sn. Wee nenda naye hivyohivyo huku unamsifia kuwa amependeza na anavutia...kwa kweli majority huwa na min***e ya hatari sana unaweza ukawa unaponea hapo! Ama?
 
lol Salamuu Maria......mmmh, hiii dunia kwisha kazi yake!!!, sasa si uende wodini ukamalize hamu, nikikuona nyuma ya mama watotowangu walahi, nakushusha busha lol.
 

Umeolewa? labda niulize wewe ni He/She?
 
lol Salamuu Maria......mmmh, hiii dunia kwisha kazi yake!!!, sasa si uende wodini ukamalize hamu, nikikuona nyuma ya mama watotowangu walahi, nakushusha busha lol.

si nimesema jumamosi nakuwaga hapa agha kani hospito? kwani mkeo tayari mjamzito mbona unakuwa makali mapema hivi? na hii ni dawa ili muwe mnapenda kusindikiza wake zenu clinic.

Ee bwana eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Hii kali!

Hivi mimi ni wa ajabu mbona mnanioshangaa mnanitisha jamani


Umeolewa? labda niulize wewe ni He/She?

Sijaoa mimi HE toa msaada hara ndugu mwenzio niko addicted na wajawazito
 
Kumbe wewe ndo nanihii nimetambua picha yako tu ..na nyie mna majina mengi ee hili la ukoo??

wee kariri picha ya shem tu, kuna siku iliibwa hiyo watu wanajua wanasemezana na shem kumbe it was a different person
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…