Wanawake, wakina dada kwa nini mkiolewa mnakuwa na roho mbaya hasa kwa ndugu wa mumeo

Wanawake, wakina dada kwa nini mkiolewa mnakuwa na roho mbaya hasa kwa ndugu wa mumeo

Dadio

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
359
Reaction score
42
Kama umeolewa na ni mwana jf, tueleze kwa umakini kwa niniwengi wenu mnabadilika mara baada ya kuolewa na kuwachukia ndugu hasa pande za waume wenu? Na sema wakina mama nikiwa na mifano hai hasa kwa watu wa karibu yangu. Inafikia hata kumnyima chakula ndugu wa mumeo? Kwa kisingizio chakula hamna wakat kipo? Mnanikera sana. Kama wewe ni mwanamke tuambie. Mmeniuzi sana.
 
haya mambo ya ndugu wa mume na mke ni two way.....

Kuna wake wengine visa kuna wakwe wengine balaa......
 
As long as you don't enterfere into woman's kingdom, YOU'RE SAFE.
 
kuna ndugu wa mume wanakuwaga na vimbelembele na kuna mke anakuwa na roho mbaya, INATEGEMEA
 
Kama umeolewa na ni mwana jf, tueleze kwa umakini kwa niniwengi wenu mnabadilika mara baada ya kuolewa na kuwachukia ndugu hasa pande za waume wenu? Na sema wakina mama nikiwa na mifano hai hasa kwa watu wa karibu yangu. Inafikia hata kumnyima chakula ndugu wa mumeo? Kwa kisingizio chakula hamna wakat kipo? Mnanikera sana. Kama wewe ni mwanamke tuambie. Mmeniuzi sana.

Utapata majibu mazuri toka kwa Nduka original; anauzoefu mzuri kuhusu wanawake!
 
Kama umeolewa na ni mwana jf, tueleze kwa umakini kwa niniwengi wenu mnabadilika mara baada ya kuolewa na kuwachukia ndugu hasa pande za waume wenu? Na sema wakina mama nikiwa na mifano hai hasa kwa watu wa karibu yangu. Inafikia hata kumnyima chakula ndugu wa mumeo? Kwa kisingizio chakula hamna wakat kipo? Mnanikera sana. Kama wewe ni mwanamke tuambie. Mmeniuzi sana.

Hasty generalization!
 
Back
Top Bottom