Wanawake waliopigania Uhuru lakini hawafahamiki

Wanawake waliopigania Uhuru lakini hawafahamiki

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Kuna wanawake wengi waliokuwa majimboni waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Bahati mbaya wengi wao hawafahamiki kabisa.

Baadhi yao nimeweka picha zao hapo chini.

1. Bi. Halima Khamis na Julius Nyerere
2. Bi. Mwamtoro bint Chuma (Dar es Salaam)
3. Mwami Theresa Ntare (Buha)
4. Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi, Titi Mohamed na kushoto mwanzo ni Bi. Tatu bint Mzee na Julius Nyerere (Dar es Salaam)
5. Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima (Dar es Salaam)
6. Lucy Lameck (Moshi)
7. Shariffa bint Mzee (Lindi)
8. Zarula bint Abdulrahman (Tabora)
9. Bi. Nyange bint Chande (Tabora)
10. Bi. Amina Kinabo (Moshi)
11. Bi. Halima Selengia (Moshi)
12. Kushoto Bi. Mwamvua Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed, Bi. Zainab Tewa (Dar es Salaam)
13. Waliokaa kushoto Mwinjuma Mwinyikambi, wa tatu Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima mstari wa nyuma ni akina mama wa Tawi la Ali Msham (Dar es Salaam)
14. Mwalim Sakina bint Arab (Dar es Salaam)
 
Kuna wanawake wengi waliokuwa majimboni waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Bahati mbaya wengi wao hawafahamiki kabisa.

Baadhi yao nimeweka picha zao hapo chini.

1. Bi. Halima Khamis na Julius Nyerere
2. Bi. Mwamtoro bint Chuma (Dar es Salaam)
3. Mwami Theresa Ntare (Buha)
4. Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi, Titi Mohamed na kushoto mwanzo ni Bi. Tatu bint Mzee na Julius Nyerere (Dar es Salaam)
5. Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima (Dar es Salaam)
6. Lucy Lameck (Moshi)
7. Shariffa bint Mzee (Lindi)
8. Zarula bint Abdulrahman (Tabora)
9. Bi. Nyange bint Chande (Tabora)
10. Bi. Amina Kinabo (Moshi)
11. Bi. Halima Selengia (Moshi)
12. Kushoto Bi. Mwamvua Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed, Bi. Zainab Tewa (Dar es Salaam)
13. Waliokaa kushoto Mwinjuma Mwinyikambi, wa tatu Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima mstari wa nyuma ni akina mama wa Tawi la Ali Msham (Dar es Salaam)
14. Mwalim Sakina bint Arab (Dar es Salaam)
Picha ziko wali mkuu.
 
Je, hakukuwa na wapigania uhuru wanawake wa kikristo zaidi ya lucy lameck?
Algore...
Hawakuwako kwa bahati mbaya sana.
Harakati za uhuru zilitawaliwa na Waislam.

Soma kitabu cha Abdul Sykes utaona.
 
Kuna wanawake wengi waliokuwa majimboni waliopigania uhuru wa Tanganyika.

Bahati mbaya wengi wao hawafahamiki kabisa.

Baadhi yao nimeweka picha zao hapo chini.

1. Bi. Halima Khamis na Julius Nyerere
2. Bi. Mwamtoro bint Chuma (Dar es Salaam)
3. Mwami Theresa Ntare (Buha)
4. Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi, Titi Mohamed na kushoto mwanzo ni Bi. Tatu bint Mzee na Julius Nyerere (Dar es Salaam)
5. Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima (Dar es Salaam)
6. Lucy Lameck (Moshi)
7. Shariffa bint Mzee (Lindi)
8. Zarula bint Abdulrahman (Tabora)
9. Bi. Nyange bint Chande (Tabora)
10. Bi. Amina Kinabo (Moshi)
11. Bi. Halima Selengia (Moshi)
12. Kushoto Bi. Mwamvua Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed, Bi. Zainab Tewa (Dar es Salaam)
13. Waliokaa kushoto Mwinjuma Mwinyikambi, wa tatu Bi. Titi Mohamed na mwanae Halima mstari wa nyuma ni akina mama wa Tawi la Ali Msham (Dar es Salaam)
14. Mwalim Sakina bint Arab (Dar es Salaam)
Shukran sana mwalim wangu hapa JF Maalum,Sheikh Mohammad Said..
Unatupa Elim kubwa sana mola akubarik sana,akulipe Kila la Kheri Kwa Kuamua Kusema ukweli Kwa njia ya maandish...

Ila nlikuwa naomba utupe history Kwann Hawa Mashujaa wetu walitolewa maksud ktk historia?
 
Algore...
Hawakuwako kwa bahati mbaya sana.
Harakati za uhuru zilitawaliwa na Waislam.

Soma kitabu cha Abdul Sykes utaona.
Shukrani kwa shule unayotoa hapa jukwaani. Nafikiri kutokana na coverage/sources ya taarifa zako zimebase sana Ukanda wa pwani ambapo majority ni waislam na kwa uchache ma chiefs waliokuwa wanawakirisha maeneo yao.

Na si kweli kuwa harakati zilitawaliwa na waislamu pekee. kwa eneo ambalo majority ni muslims its obvius lazima wawe wengi na ukizingatia taarifa zako nyingi kutoka kwa wazee wako .

NB.kila ukanda ulikuwa na movements zake ... unfournate hatujapata waandishi wengine kutoka maeneo hayo au reseachers ambao wako dedicated kama wewe.

All in all tunafurahia shule unayotoa hapa.
 
Shukrani kwa shule unayotoa hapa jukwaani. Nafikiri kutokana na coverage/sources ya taarifa zako zimebase sana Ukanda wa pwani ambapo majority ni waislam na kwa uchache ma chiefs waliokuwa wanawakirisha maeneo yao.

Na si kweli kuwa harakati zilitawaliwa na waislamu pekee. kwa eneo ambalo majority ni muslims its obvius lazima wawe wengi na ukizingatia taarifa zako nyingi kutoka kwa wazee wako .

NB.kila ukanda ulikuwa na movements zake ... unfournate hatujapata waandishi wengine kutoka maeneo hayo au reseachers ambao wako dedicated kama wewe.

All in all tunafurahia shule unayotoa hapa.
SMC..
Kanisa lilikuwa linawakataza waumini wake kushiriki katika siasa.

Hii ndiyo sababu kubwa Waislam wakawa mstari wa mbele katika kupambana na ukoloni.
 
Back
Top Bottom