Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Kuna hali nimeanza kuiona kwa miezi sasa humu ndani. Watoto wazuri wamepungua au mimi ndiye sikutani nao?
Hawaonekani kabisa! Sitaki kuamini wazee mnawakeep saana busy PM hadi humu hawatokei tuchit-chat. Kina nanii wote hawapo.
Please jitokezeni tunamiss uwepo wenu, raha ya mwanamke kuchekacheka na mwanaume bhana.
Hawaonekani kabisa! Sitaki kuamini wazee mnawakeep saana busy PM hadi humu hawatokei tuchit-chat. Kina nanii wote hawapo.
Please jitokezeni tunamiss uwepo wenu, raha ya mwanamke kuchekacheka na mwanaume bhana.