Wanawake wamepungua sana humu. Kulikoni?

Pesa ya nn sasa.?? Pesa ya nn dada??

Njoo bukoba huku,...

Tupo natural

Nguo mbili tunavaa miezi

We are natural alot. we looking sex alot

Kazi ni kwenda shamba kama masaa matatu

Na kupikiwa ndizi ( ebitoke) unakula. Yan tunakula siku inaisha.
Hi Daby!, wadada na sisi tuko busy kutafuta maisha,maana tukiomba hela wakaka wanaita vizinga eti[emoji3] ,tumeona tujitahidi kujitafutia tu, ila tupoooo
 
Asa ww wajua kwann sipendi kuwa chitc chat wengine wanahis mayb dharau😅😅..bora ww unajua!!nakupigia sikupati😇!
Ofcz nimeona list ya warembo hapo mkuu Depal kaiweka nikaikosa id yako ikabidi niandamane.
Niko available kwa air labda ishu ni network tu..let me call u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…